Wadau hivi ni nini madhara ya hii shera hasa ukiuunganisha na haki za binadamu?
Thanks M-bongoz,
Ngoshwe, nakushukuru sana, ukweli ni kwamba mie sina ufahamu sana juu ya hii sheria lakini ukisoma ripoti ambayo tanzania imeandika kwa Commission of the Status of Women- UN, inaainisha kwamba hii ni moja kati ya sheria zinazochochea ukandamizaji na unyanyasaji wa wanawake wa tanzania. My aim is to highlight what exsactly are those areas, within a law? And in what way they could be changed, so that tanzanian women can enjoy human rights equivalent to men.
Thanks for the input on durusu za marekebisho ya sheria, but can i get them online?
Je naweza jua ni kwa njia gani hii sheria inapingana na haki nyingine za binadamu? kama vile haki za mtoto?
Natanguliza shukurani.