NGUGO
Member
- Apr 8, 2012
- 36
- 6
Wana sheria wa JF Salama?
Ufumbuzi wa hili ukoje?
Mwaka 1975 nilioa kwa ndoa ya kimila, bahati mbaya ndoa hiyo ilivunjika mwaka 1980 tukiwa tayari tumezaa watoto watatu. Mwaka 1986 nilipata mwenzi mwingine tukafunga ndoa kanisani, tumejaliwa kupata watoto wawili.
Tatizo linakuja kuwa mama watoto huyu mpya anadai hawatambui hao wanangu wa awali na anasema hata ikitokea ikafika maswala ya urithi, wale watatu hawahusiki na mirathi.
1. Je! Sheria za mirathi zasemaje hapo wanasheria? 2. Je! Nikiamua kugawa urithi ningali hai nitakuwa nimekiuka sheria za mirathi?
Ufumbuzi wa hili ukoje?
Mwaka 1975 nilioa kwa ndoa ya kimila, bahati mbaya ndoa hiyo ilivunjika mwaka 1980 tukiwa tayari tumezaa watoto watatu. Mwaka 1986 nilipata mwenzi mwingine tukafunga ndoa kanisani, tumejaliwa kupata watoto wawili.
Tatizo linakuja kuwa mama watoto huyu mpya anadai hawatambui hao wanangu wa awali na anasema hata ikitokea ikafika maswala ya urithi, wale watatu hawahusiki na mirathi.
1. Je! Sheria za mirathi zasemaje hapo wanasheria? 2. Je! Nikiamua kugawa urithi ningali hai nitakuwa nimekiuka sheria za mirathi?