Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

Wakati nchi za wenzetu wakitunga sheria za kudhibiti uhalifu unaoligharimu Taiga mamilioni ya fedha na damu za watu, Tanzania inatunga sheria ya kusaidia kupatikana kwa " goli LA mkono"
 
Ambae anaona hizi sheria ziko sawa kichwani ana matope (kusema hivi tayari nishavunja kipengele kimoja na naweza kwenda jela mwaka au kulipa fine isiyopungua three million).Unaona ilivyo rahisi kumfunga mtu. Siamini walikaa wabunge na wao kwa akili zao kabisa wakapitisha haya madudu. Hii ni dictatorship kabisa, sijaona HATA KIMOJA ambacho ni right kuhusu hiyo sheria, em aliyeona kipengele ambacho kinasaidia bila kukandamiza aniambie isije kua nimeruka mambo ya msingi.

Naona ni muda sasa inabidi watu tuungane kuipinga hii ifutwe kabisa au ifanyiwe marekebisho.

Ukisoma vizuri hiki kimeseji tu tayari mtu anaweza jipanga akanifunga maana hata identity tu nayotumia sio jina langu halisi.
MSIJALI HII SHERIA ILIPANGA KULINDA UHUNI NA UHALIFU WA WATU FULANI FULANI WA CCM NA INAPIGWA VITA NA DUNIA NZIMA, IKO KINYUME NA UHURU WA KUNENA, NA ITAFUTWA
Hii ilikuwa muhimu kwa ccm ili kuzuwia watu wasiseme tunaibiwa kura.
 
Sheria hiyo haikutungwa na wabunge bali ililetwa kama mswaada na flani flani katika bunge kisha kupitishwa haraka haraka kwa kigezo cha ifanye kazi mapema uchaguzi unakaribia, kisha wakadai wataifanyia marekebisho.
 
Hakuna mjadala ulio kubali hiyo sheria bali mawaziri fulani walitumika kuipamba sheria hiyo kwa wananchi kupitia tbc1
 
Mmmmh serkal hii ina less kbao
Lakn anyway
Leng lao tutaljua
Na kma baadh itafungiw
Wataona athar kubw then
Watajua nn cha kufanya hao macrazer
 
Back
Top Bottom