Mwalimu Mlaki
Member
- Feb 11, 2015
- 62
- 8
Kuna haja ya kufikiri juu ya fikra tunazofikiri na kuwaza juu ya mawazo tunayowaza kabla ya kutaka mabadiliko yoyoteyale
Tuko exposed nyuma ya keypad
Tunakoelekea hata haya matumizi ya majina ya bandia yanaweza kabisa kufutwa na sheria hii ikafanyiwa marekebisho kwa lengo la kulazimisha matumizi ya majina halisi iwapo tutakaa kimya bila kuchukua hatu sasa.
Tuko exposed nyuma ya keypad
Iwapo mh.Raisi atasaini muswaada wa makosa ya mtandao na kuwa sheria,moja ya matakwa ya utekelezaji wa sheria hiyo itakuwa ni kuwataka watoa hudumu(wamiliki wa mitandao na blogs) kutoa taarifa mbalimbali za watumiaji zikiwemo taarifa za majina halisi ya watumiaji wa mitandao na blogs mbalimbali na itakuwa ni kosa,kwa mujibu wa sheria,mtoa huduma kutotoa taarifa hizo pindi zinapotakiwa.
Sasa wadau,kwa sheria hii,haya majina ya bandia(fake ID) tunayotumia yatakuwa na maana na umuhimu wake wa awali?
Sipati majibu kabisa!
Iwapo mh.Raisi atasaini muswaada wa makosa ya mtandao na kuwa sheria,moja ya matakwa ya utekelezaji wa sheria hiyo itakuwa ni kuwataka watoa hudumu(wamiliki wa mitandao na blogs) kutoa taarifa mbalimbali za watumiaji zikiwemo taarifa za majina halisi ya watumiaji wa mitandao na blogs mbalimbali na itakuwa ni kosa,kwa mujibu wa sheria,mtoa huduma kutotoa taarifa hizo pindi zinapotakiwa.
Sasa wadau,kwa sheria hii,haya majina ya bandia(fake ID) tunayotumia yatakuwa na maana na umuhimu wake wa awali?
Sipati majibu kabisa!
ID yeyote unayotumia haizuwii kujulikana wewe ni nani - kumbuka hilo.
Iwapo mh.Raisi atasaini muswaada wa makosa ya mtandao na kuwa sheria,moja ya matakwa ya utekelezaji wa sheria hiyo itakuwa ni kuwataka watoa hudumu(wamiliki wa mitandao na blogs) kutoa taarifa mbalimbali za watumiaji zikiwemo taarifa za majina halisi ya watumiaji wa mitandao na blogs mbalimbali na itakuwa ni kosa,kwa mujibu wa sheria,mtoa huduma kutotoa taarifa hizo pindi zinapotakiwa.
Sasa wadau,kwa sheria hii,haya majina ya bandia(fake ID) tunayotumia yatakuwa na maana na umuhimu wake wa awali?
Sipati majibu kabisa!
... sio id yeyote...ni id yoyote.. umenielewa wewe
Ikisainiwa JF itakuwa useless!