Naombeni kujua imejadiliwa na kupitishwa lini?
Ilijadiliwa na kupitishwa kwenywe BUNGE la APRIL 13, 2012. JK akasign chapuchapu na imeanza kutumika tangua JULY 1, 2012.
Naombeni kujua imejadiliwa na kupitishwa lini?
Acha hizo wewe wabunge wa magamba a.k.a wagonga meza wanaweza kumshirikisha mtu katika maslahi yao kweli??Think twice!!Mlangaja Ukidai kwanini hatukushirikishwi? ni utetezi DHAIFU. UKWELI ni kwamba wafanyakazi tulishirikishwa kwanza kupitia TUCTA na pili wafanyakazi tulishirikishwa kupitia wawakilishi wetu ambao ni WABUNGE wa JMT.
Mambo ya nchi hii utata mtupu!
Hivi kikwete alitoka wapi jamani??? Mbona ni kansa inayotumaliza taratibu??? Uwiiiiii hili shetani litaondoka lini madarakani???
yeye ndiye kiongozi wa nchi! kauli yake yatosha! SSRA wapo chini yake, hebu usinitibue bado nina hasira zangu!Na hili nalo mnataka kumlaumu mjomba?
Hayo mambo ya SSRA Madame sio JK
Hivi kikwete alitoka wapi jamani??? Mbona ni kansa inayotumaliza taratibu??? Uwiiiiii hili shetani litaondoka lini madarakani???
Wakati sheria hii inaandaliwa na kujadiliwa, kilichokuwa kikisemwa kuwa ni dhamira ya sheriahiyo ni kuungnisha mifuko ya hifadhio ya jamii ili kuiweka chini ya chombo kimoja - SSRA. hili la kukatisha kuchukua sent zetu wala halikusemwa.Ilijadiliwa na kupitishwa kwenywe BUNGE la APRIL 13, 2012. JK akasign chapuchapu na imeanza kutumika tangua JULY 1, 2012.