Sheria ya kuniruhusu kusafiri na mwanangu

Mara nyingi nimeona hili likifanyika hivyo...kuwashirikisha ndugu wa 'baba'...yaani hata kama 'baba' amekataa lakini kama mwanamke anao uhakika juu ya 'baba wa mtoto' na anawajua ndugu zake basi kwa namna moja ama nyingine atajitahidi mtoto ajue nasaba yake.

Labda pengine katika maelezo yako hukuweka bayana circumstances za huyo baba kukataa ujauzito/mtoto. Kwa uzoefu wangu mwanaume yoyote anaweza kukataa ujauzito/mtoto kutegemeana na circumstances zilizopo....hata ndani ya ndoa kuna wanaume wanaweza kukataa ujauzito/mtoto.

Sio kitu kibaya kwa mtoto kujua nasaba yake hasa kwa case yako ambapo inaonekana huna doubt yoyote kuhusu baba wa mtoto (Umesema hapo mwanzo jina la mzazi mwenzako liliwekwa kwenye cheti cha kuzaliwa) pamoja na kuwa baba alikataa. Linapokuja suala la malezi ni vema zaidi kutizama maslahi na mustakabali wa mtoto kabla ya nyinyi wazazi.

Sina doubt kuhusu nani ndo mzazi mwenzangu, but kila mtu anajinsi ya kureact to situations, na my way was kama amekimbia mimba,it means hana time na sisi, alikuwa na time for 12 years now, but its too late.Aliyenibebesha mimba ni yeye na ndugu zake wamepata ripoti kama walikuwa interested na mtoto angalau hata moja wao would have come kumwona mtoto.So kwa nini niwe na time nao? infact nimempa heshima kumweka kwenye cheti, In short simuitaji katika maisha yetu tena, mimi sio binti tena kusema nitarudiana nae, I am mature and have moved on,hiyo ilikuwa mapenzi ya ujana.NNshukuru Mungu mtoto wangu hakosi chochote kwa hiyo maslahi yake is taken care of , I am sure hata hapa JF kuna watu hawajawahi kuishi na one of their parents, and still life never stopped
 
dada,kitu kikubwa watachotaka ubalozini ni uwathibitishie kuwa wewe ndio responsible kwa kila kitu,hivyo vitu vikubwa wanavyohitaji ni risiti,inakuwa nzuri zaidi kama unazo risiti ambazo huwa unamlipia ada shule au pay in slip.....hicho ndio kitu kikubwa wanachotaka,ilimradi tu jina lako lipo ktk cheti chake cha kuzaliwa wao hawana haja na baba...ondoa hofu,mi nimeshamleta mtoto wangu huku.
 
Ndiyo anayo passpoti
Bila ya shaka wewe ndiye uliyotoa "idhini". Hata kwenye kupata visa mara nyingi inahitajika idhini ya mzazi/mlezi halali. Labda kama atatokea "baba" kuweka pingamizi!

Kutokana na maelezo yako, inaelekea bado huja formalize vizuri suala la baba wa mtoto...hali hii inaweza kuleta matatizo baadae. Hakuna namna umejaribu kufanya ili huyo baba akatambuliwa rasmi (kisheria) hata kama yeye anakataa?
 
Bila ya shaka wewe ndiye uliyotoa "idhini". Hata kwenye kupata visa mara nyingi inahitajika idhini ya mzazi/mlezi halali. Labda kama atatokea "baba" kuweka pingamizi!

Kutokana na maelezo yako, inaelekea bado huja formalize vizuri suala la baba wa mtoto...hali hii inaweza kuleta matatizo baadae. Hakuna namna umejaribu kufanya ili huyo baba akatambuliwa rasmi (kisheria) hata kama yeye anakataa?

Apart from yeye kuwa kwenye cheti cha kuzaliwa,Niliamua muda mrefu kutotaka anything to do with him and I have full support from my family ambao wamehangaika na mimi kumlea mwanangu.So infact I dont want anything to do with him.Sasa naitaji to full custody legally- though kila mtu anajua mimi ndo mzazi pekee- but legalizing it will be fine too
 
dada,kitu kikubwa watachotaka ubalozini ni uwathibitishie kuwa wewe ndio responsible kwa kila kitu,hivyo vitu vikubwa wanavyohitaji ni risiti,inakuwa nzuri zaidi kama unazo risiti ambazo huwa unamlipia ada shule au pay in slip.....hicho ndio kitu kikubwa wanachotaka,ilimradi tu jina lako lipo ktk cheti chake cha kuzaliwa wao hawana haja na baba...ondoa hofu,mi nimeshamleta mtoto wangu huku.

Asante ndugu yangu, ninao all school receipts and all money grams pia,
 
...infact nimempa heshima kumweka kwenye cheti, In short simuitaji katika maisha yetu tena, mimi sio binti tena kusema nitarudiana nae, ..
Kama yeye ndio baba..kumweka kwenye cheti sio kumpa heshima (hukuwa na option ya kuweka mtu mwingine!).

....Nshukuru Mungu mtoto wangu hakosi chochote kwa hiyo maslahi yake is taken care of , I am sure hata hapa JF kuna watu hawajawahi kuishi na one of their parents, and still life never stopped
Sizungumzii kuishi nae...nazungumzia kufahamu/kufahamiana na baba na nduguze (umeshajibu hapo juu). Yes, maisha yanaendelea ingawa suala hili linaweza kuleta complications kama hutaliweka sawasawa. Kwa mfano, ikiwa bahati mbaya Mungu anaamua kukuchukua ni nini mustakabali wa mtoto? ...(well pengine kuna babu/bibi/wajomba/mama wadogo nk! au pengine hakuna)! Nimeona shida nyingi zikiwapata watoto kwenye matatizo yanayofanana na hili ndio maana nasema haya ninayoyasema.
 
....Sasa naitaji to full custody legally- though kila mtu anajua mimi ndo mzazi pekee- but legalizing it will be fine too
Yes, mahakamani watakupa haki ya kuwa mlezi(kukaa na mtoto).

Hata hivyo sio suala la option....kama ikithibitika huyo baba ndiye baba kisheria analazimika (labda kama hayupo timamu) kushiriki kulea/kumuhudumia mtoto wake. Hata kama wewe unaweza kumlea peke yako hilo halimwondolei yeye wajibu wake kwa mtoto.
 
Kama yeye ndio baba..kumweka kwenye cheti sio kumpa heshima (hukuwa na option ya kuweka mtu mwingine!).

Sizungumzii kuishi nae...nazungumzia kufahamu/kufahamiana na baba na nduguze (umeshajibu hapo juu). Yes, maisha yanaendelea ingawa suala hili linaweza kuleta complications kama hutaliweka sawasawa. Kwa mfano, ikiwa bahati mbaya Mungu anaamua kukuchukua ni nini mustakabali wa mtoto? ...(well pengine kuna babu/bibi/wajomba/mama wadogo nk! au pengine hakuna)! Nimeona shida nyingi zikiwapata watoto kwenye matatizo yanayofanana na hili ndio maana nasema haya ninayoyasema.

Ya Mungu leave it to God, future ya mtoto wangu is taken care of until he is 18, after that atakuwa independent so he can choose what he wants with his life, Nina ndugu baba yao aliwakataa but they are living much better lives than hata wangeishi na baba, my friend your future is yours wazazi ni kama chombo tu ya kukuleta duniani after that you struggle on your own.So tukiishi when thinking what will happen in the future, u will forever remain dependent,dunia ya sasa ni ku work hard for yourself.Mirathi ya wazizi siku hizi ni bahati,ukizingatia wazazi wenyewe wana wake kadhaa na watoto wasioesapika.Na familia yangu will always be there hata kama hatapata the best but atakuwa taken care for
 
officer wa immigration akisoma yaaani umejinyima mwenyewe haki yako
wewe single mtotoumempataje na watakuwa na uhakika gani ni wako wakati single??embu tusaidie niangalie nitakusaidiaje
 
officer wa immigration akisoma yaaani umejinyima mwenyewe haki yako
wewe single mtotoumempataje na watakuwa na uhakika gani ni wako wakati single??embu tusaidie niangalie nitakusaidiaje

sikuelewi? bongo kuna wanawake wangapi wanawatoto na hawajaolewa bado wako single?au wasichana chini ya miaka kumi na minane wana watoto na hawajui nani aliyempa ujauzito? au hauelewi maana ya single parenting?Labda pia ukae ukijua kuna kipimo inaitwa DNA testing kama unashaka!

Nilibeba mimba miezi tisa ungependa nikupe full story ya maumivu niliyoyapata pia iliuelewa kuwa ndie niliyemzaa?
 
Back
Top Bottom