Sheria ya kiswahili ni haramu...

Aloysius

Member
Mar 1, 2011
80
9
Eti wanasheria, najua hamna majibu uliza babu zenu kuwa kisawhili kiliwakosea nini nyinyi wanasheria halafu kwa mapenzi makubwa mniletee majibu. Katika chungulia chungulia yangu nilibaini mambo yafuatayo (mbali na mahakama ya Mwanzo), Eti kumbe hakimu, akiwasikiliza wanaowakilisha ushahidi kwa kiswahili huwa anaandika kwa kiingereza. (kuna accuracy hapo).


Eti tena wakati wakuandaa hukumu yake atatakiwa atumie ushahidi wote uliokwa kiswahili haufanye urudi kwa kiingereza, Eti tena wakati wakusoma hukumu atajitahidi yale aliyoyaandika kwa kiingereza ayawasilishe kwa kiswahili.


BAADAE wahusika ilikuelewa zaidi watahitaji kutafsiriwa. WHHHHHHHHHHHHHHHHHHEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEERRRRRRRRRRRRRRRRE IIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIS JJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJJUUUUUUUUUSSSSSSSSSSSSSSSSSSTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIICCCCCCCCCCCCCEEEEEEEEEE???!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! hwre my dears, why is Justice hidden in the western toungue, what have Swahili done to lawyers for God sake?

What a menace? why dont assume a more systematic and predictable life style than the Chai MAharage chai Maharage. Kawaulize akina babu zenu Chenge n.k mniletee majibu by kesho saa kama hizi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom