- Thread starter
- #21
MAGIC FM?????SIO CLOUDS WENGINE HAWA KWELI???
siamini taarifa hiii
soma gazeti la MWANANCHI la leo ukurasa wa kwanza, habari kamili inaendele ukurasa wa nne.. je nao ni clouds?
MAGIC FM?????SIO CLOUDS WENGINE HAWA KWELI???
siamini taarifa hiii
SOURCE, MORNING MAGIC GUMZO. gumzo la leo limejadili kuwa swala la kurudishwa bungeni kwa sheria ya kujadili katiba mpya, ifanyiwe marekebisho. je kulikuwa na umuhimu gani wa raisi kuwa na haraka ya kusign mswada wa sheria kabla ya kusikiliza maoni ya wananchi na vyama vingine?
kama ingekuwa kusign hati ya vita au mkataba muhim wa nchi, hapo si nchi ingeingia matatizoni?
NAWASILISHA.