Sheria-UDSM: WANAWAKE vipi?

wi-fi,yule jamaa alikuwa kazimia jina la mpigamsuli,tu! nazi haishindan na jiwe ndugu,hahaha!
 
sio kweli kuhusu rushwa ya ngono na nakuomba ukanushe hilo, hao uliowataja wamepata hizo nafaisi za kubaki pale on merits and not otherwise.

Pole Dada/Kaka hujanielewa, siwezi kusingizia kitu kibaya kama hicho. Sijasema wanawake waliobaki sheria UDSM wamebaki kwa merit ya ngono, not at all!! Nasema hivi, labda kwa sasa wanawake hawabaki kuwa TAs pale kwa sababu ya utaratibu wa zamani umekuwa abandoned ambapo as long as you have a stipulated GPA ilikuwa ni lazima ubaki. Sasa ninachokuwa na wasiwasi nacho ni kuwa kwa vile utaratibu transparent kama wa zamani umekuwa abandoned, basi inawezekana wanawake wanakuwa na qualification lakini kwa sababu ya rushwa particularly ya ngono kwa wanawake wanakataliwa. Actually nawatetea kuwa wanaachwa labda kwa sababu ya kutakiwa watoe rushwa ya ngono (nasema labda)
 
Pole Dada/Kaka hujanielewa, siwezi kusingizia kitu kibaya kama hicho. Sijasema wanawake waliobaki sheria UDSM wamebaki kwa merit ya ngono, not at all!! Nasema hivi, labda kwa sasa wanawake hawabaki kuwa TAs pale kwa sababu ya utaratibu wa zamani umekuwa abandoned ambapo as long as you have a stipulated GPA ilikuwa ni lazima ubaki. Sasa ninachokuwa na wasiwasi nacho ni kuwa kwa vile utaratibu transparent kama wa zamani umekuwa abandoned, basi inawezekana wanawake wanakuwa na qualification lakini kwa sababu ya rushwa particularly ya ngono kwa wanawake wanakataliwa. Actually nawatetea kuwa wanaachwa labda kwa sababu ya kutakiwa watoe rushwa ya ngono (nasema labda)

Hakuna kitu kama hicho, acheni kuwadhalilisha wahadhiri wetu. Kigezo ccha GPA ya 3.8 kinaaplly kwa chuo kizima na sio law pekee. Toka sheria hiyo ya GPA kuwekwa, hakuna mwanamke aliyefika GPA hiyo ya 3.8 akaachwa, kwa pale kitivo sheria (kama alitaka). Kwa hiyo wanawake HAWAKATALIWI, bali hawafikii sifa so far. Nijuavyo mimi vitivo vingine, mfano Arts, UDBS, na Science kupata GPA hiyo ni rahisi kuipata na wanaipata wengi kuliko pale Law. Kwa hiyo wao wa vitivyo vingine huwa wanaomba wengi na inabidi wachujwe wapewe wachache kulingana na ni nafasi ngapi za ajira zilizopo toka utumishi. So hapo ndio unaweza kuta wenye hiyo 3.8 na zaidi walioachwa. (Kama ni rushwa sasa unaweza labda ukasema hapa inawezeekana kwani huwezi jua kwa nini huyu kaachwa, na huyu kachukuliwa). Ila kwa law SIKU zote wanakosa watu wenye hiyo 3.8 wa kutosha kujaza nafasi walizoruhusiwa na utumishi. Na hivyo hubaki na upungufu kwa kukosa wenye sifa.

Huo utaratibu unaosema ulikuwa transparent hapo zamani ni upi? Huu wa sasa ndio traansparent zaidi; Una GPA ya 3.8 na zaidi, unaajiriwa (KAMA UNATAKA na NAFASI IPO). Sio suala la "automatic" ajira kama una 3.8: No, ni kama unataka. Ila Deans wa law siku zote wamekuwa wanaencourage wanafunzi wenye 3.8 waombe (wabaki) kwani hawataki kuwapoteza wanafunzi wao. Na kiujumla wanafunzi wengi bright huwa wanapenda kubaki kitivo na kuanzia kazi hapo. Kuna hiyo prestige almost kwa kila mwanafunzi anayesoma law. Nakumbuka hata mwaka wetu 2008 ni watu 3 tu (wanaume) walifika na kuvuka hiyo GPA ya 3.8, na wote wapo hapo kitivo sasa. Ila mwanzoni wote waliondoka wakaajiriwa PWC kama. Lkn zilipotoka nafasi za ajira DSM miezi michachee baadae dean wa wakati huo, Prof kabudi (sijui kama bado ndiye dean) aliwafuata huko huko PwC akawa"tongoza" hadi wakaaacha kazi wakarudi faculty. Na sasa washamaliza LLM na mmoja nasikia tayari anafanya PhD. Mwaka huo nakumbuka sana kuna dada mmoja ama wawili tu ambao walicompete sana lkn mwishowe mmoja akapata GPA ya 3.7, na hakuweza kuajiriwa kwa sababu vigezo viko wazi: haakuwa na 3.8 na zaidi. Ila naasikia anafundisha Open University sasa.

Kwa hiyo nadhani utaratibu huu wa GPA ndio transparent zaidi. Huna GPA hiyo, basi hujaqualify. Labda sasa useme wanapendelewa kuannzia 1st year kwa kupewa marks kubwa ili mwishoni wapate GPA kubwa. Lkn hilo sio kweli na naweza hata kuthibitisha. Watu waliopata 3.8 darasani kwetu walikuwa very intelligent na hard working. Wanadesrve na hata kazi yao nina uhakika itathibitisha hivyo. Sina shaka nao HATA. Wengine sisi tulikuwa fifty fifty-disco kidogo, shule kidogo, pombe kidogo. Hao walikuwa bookworms na walokole! lol!

Na cha kufurahisha (au kushangaza!) zaidi nasikia hata kama unarudi na PHD yako kuomba kazi wanaangalia LL.B ulipata nini. Kama huna 3.8 na zaidi, PhD yako haitakupa kazi. Hili kidogo inaabidi waangalie, kwa kuassess uwezo wa mzu kwa vigezo vingine-eg. publications, etc. PhD ingeweza kuwa ni sababu tosha ya ajira-kama ana sifa nyingine. ili kama ni kweli, inabidi kidogo wajitathmini walegeze. Kingine ni kuwa law hawana historia ya kuajiri watu waliosoma vyuo vingine, hata kama una GPA ya 5!. Kwa hili nawaelewa sana kwa kuwa so far HAKUNA chuo kinachoweza sema kinafundisha lawyers vizuri zaidi ya UDSM-hasa kwa kuangalia tu qualifications za staff wao. So wana haki ya kutoamini products za vyuo vingine. Labda baadae ila sijui kama itawezekana.

So, kina dada wajitahidi tu wasidhani hapo kuna cha "special seats", "special consideration" etc. Hiyo ni academics, lazima wawe competent. Kama wewe sio moto, sio baridi kama sisi wengine, maliza zako nenda law school njoo mtaani tupuyange mahakamani. Waache wenye sifa watufundishie wadogo zetu huko.
 
Hakuna kitu kama hicho, acheni kuwadhalilisha wahadhiri wetu. Kigezo ccha GPA ya 3.8 kinaaplly kwa chuo kizima na sio law pekee. Toka sheria hiyo ya GPA kuwekwa, hakuna mwanamke aliyefika GPA hiyo ya 3.8 akaachwa, kwa pale kitivo sheria (kama alitaka). Kwa hiyo wanawake HAWAKATALIWI, bali hawafikii sifa so far. Nijuavyo mimi vitivo vingine, mfano Arts, UDBS, na Science kupata GPA hiyo ni rahisi kuipata na wanaipata wengi kuliko pale Law. Kwa hiyo wao wa vitivyo vingine huwa wanaomba wengi na inabidi wachujwe wapewe wachache kulingana na ni nafasi ngapi za ajira zilizopo toka utumishi. So hapo ndio unaweza kuta wenye hiyo 3.8 na zaidi walioachwa. (Kama ni rushwa sasa unaweza labda ukasema hapa inawezeekana kwani huwezi jua kwa nini huyu kaachwa, na huyu kachukuliwa). Ila kwa law SIKU zote wanakosa watu wenye hiyo 3.8 wa kutosha kujaza nafasi walizoruhusiwa na utumishi. Na hivyo hubaki na upungufu kwa kukosa wenye sifa.

Huo utaratibu unaosema ulikuwa transparent hapo zamani ni upi? Huu wa sasa ndio traansparent zaidi; Una GPA ya 3.8 na zaidi, unaajiriwa (KAMA UNATAKA na NAFASI IPO). Sio suala la "automatic" ajira kama una 3.8: No, ni kama unataka. Ila Deans wa law siku zote wamekuwa wanaencourage wanafunzi wenye 3.8 waombe (wabaki) kwani hawataki kuwapoteza wanafunzi wao. Na kiujumla wanafunzi wengi bright huwa wanapenda kubaki kitivo na kuanzia kazi hapo. Kuna hiyo prestige almost kwa kila mwanafunzi anayesoma law. Nakumbuka hata mwaka wetu 2008 ni watu 3 tu (wanaume) walifika na kuvuka hiyo GPA ya 3.8, na wote wapo hapo kitivo sasa. Ila mwanzoni wote waliondoka wakaajiriwa PWC kama. Lkn zilipotoka nafasi za ajira DSM miezi michachee baadae dean wa wakati huo, Prof kabudi (sijui kama bado ndiye dean) aliwafuata huko huko PwC akawa"tongoza" hadi wakaaacha kazi wakarudi faculty. Na sasa washamaliza LLM na mmoja nasikia tayari anafanya PhD. Mwaka huo nakumbuka sana kuna dada mmoja ama wawili tu ambao walicompete sana lkn mwishowe mmoja akapata GPA ya 3.7, na hakuweza kuajiriwa kwa sababu vigezo viko wazi: haakuwa na 3.8 na zaidi. Ila naasikia anafundisha Open University sasa.

Kwa hiyo nadhani utaratibu huu wa GPA ndio transparent zaidi. Huna GPA hiyo, basi hujaqualify. Labda sasa useme wanapendelewa kuannzia 1st year kwa kupewa marks kubwa ili mwishoni wapate GPA kubwa. Lkn hilo sio kweli na naweza hata kuthibitisha. Watu waliopata 3.8 darasani kwetu walikuwa very intelligent na hard working. Wanadesrve na hata kazi yao nina uhakika itathibitisha hivyo. Sina shaka nao HATA. Wengine sisi tulikuwa fifty fifty-disco kidogo, shule kidogo, pombe kidogo. Hao walikuwa bookworms na walokole! lol!

Na cha kufurahisha (au kushangaza!) zaidi nasikia hata kama unarudi na PHD yako kuomba kazi wanaangalia LL.B ulipata nini. Kama huna 3.8 na zaidi, PhD yako haitakupa kazi. Hili kidogo inaabidi waangalie, kwa kuassess uwezo wa mzu kwa vigezo vingine-eg. publications, etc. PhD ingeweza kuwa ni sababu tosha ya ajira-kama ana sifa nyingine. ili kama ni kweli, inabidi kidogo wajitathmini walegeze. Kingine ni kuwa law hawana historia ya kuajiri watu waliosoma vyuo vingine, hata kama una GPA ya 5!. Kwa hili nawaelewa sana kwa kuwa so far HAKUNA chuo kinachoweza sema kinafundisha lawyers vizuri zaidi ya UDSM-hasa kwa kuangalia tu qualifications za staff wao. So wana haki ya kutoamini products za vyuo vingine. Labda baadae ila sijui kama itawezekana.

So, kina dada wajitahidi tu wasidhani hapo kuna cha "special seats", "special consideration" etc. Hiyo ni academics, lazima wawe competent. Kama wewe sio moto, sio baridi kama sisi wengine, maliza zako nenda law school njoo mtaani tupuyange mahakamani. Waache wenye sifa watufundishie wadogo zetu huko.

This is a good narration of the story. Mimi nilikuwa na wasiwasi kuwa he! how come miaka yote wasichana wasipate 3.8 GPA, hata mmoja jamani, lakini from your story looks like so! they do not have the right qualifications.
Utaratibu wa zamani way back 1983 nilipokuwa pale, mtu akipata GPA inayotakiwa ilikuwa ni kupokelewa siyo kuomba (sending aplication letter) unachukuliwa tu, labda kama hutaki kubaki!
 
Nijuavyo mimi vitivo vingine, mfano Arts, UDBS, na Science kupata GPA hiyo ni rahisi kuipata na wanaipata wengi kuliko pale Law.

Kusema kweli Law haina ugumu wowote ule sasa sielewi kinachofanya watu washindwe kupata GPA ya 3.8 ni nini.

Huwezi kabisa kulinganisha ugumu wa Law na baadhi ya masomo ya sayansi, kwa mfano. Sasa iweje kwenye sayansi watu wapate kirahisi GPA kubwa kuliko Law?

Nini kigumu kwenye Law? Latin legalese au?
 
Hakuna kitu kama hicho, acheni kuwadhalilisha wahadhiri wetu. Kigezo ccha GPA ya 3.8 kinaaplly kwa chuo kizima na sio law pekee. Toka sheria hiyo ya GPA kuwekwa, hakuna mwanamke aliyefika GPA hiyo ya 3.8 akaachwa, kwa pale kitivo sheria (kama alitaka). Kwa hiyo wanawake HAWAKATALIWI, bali hawafikii sifa so far. Nijuavyo mimi vitivo vingine, mfano Arts, UDBS, na Science kupata GPA hiyo ni rahisi kuipata na wanaipata wengi kuliko pale Law. Kwa hiyo wao wa vitivyo vingine huwa wanaomba wengi na inabidi wachujwe wapewe wachache kulingana na ni nafasi ngapi za ajira zilizopo toka utumishi. So hapo ndio unaweza kuta wenye hiyo 3.8 na zaidi walioachwa. (Kama ni rushwa sasa unaweza labda ukasema hapa inawezeekana kwani huwezi jua kwa nini huyu kaachwa, na huyu kachukuliwa). Ila kwa law SIKU zote wanakosa watu wenye hiyo 3.8 wa kutosha kujaza nafasi walizoruhusiwa na utumishi. Na hivyo hubaki na upungufu kwa kukosa wenye sifa.

Huo utaratibu unaosema ulikuwa transparent hapo zamani ni upi? Huu wa sasa ndio traansparent zaidi; Una GPA ya 3.8 na zaidi, unaajiriwa (KAMA UNATAKA na NAFASI IPO). Sio suala la "automatic" ajira kama una 3.8: No, ni kama unataka. Ila Deans wa law siku zote wamekuwa wanaencourage wanafunzi wenye 3.8 waombe (wabaki) kwani hawataki kuwapoteza wanafunzi wao. Na kiujumla wanafunzi wengi bright huwa wanapenda kubaki kitivo na kuanzia kazi hapo. Kuna hiyo prestige almost kwa kila mwanafunzi anayesoma law. Nakumbuka hata mwaka wetu 2008 ni watu 3 tu (wanaume) walifika na kuvuka hiyo GPA ya 3.8, na wote wapo hapo kitivo sasa. Ila mwanzoni wote waliondoka wakaajiriwa PWC kama. Lkn zilipotoka nafasi za ajira DSM miezi michachee baadae dean wa wakati huo, Prof kabudi (sijui kama bado ndiye dean) aliwafuata huko huko PwC akawa"tongoza" hadi wakaaacha kazi wakarudi faculty. Na sasa washamaliza LLM na mmoja nasikia tayari anafanya PhD. Mwaka huo nakumbuka sana kuna dada mmoja ama wawili tu ambao walicompete sana lkn mwishowe mmoja akapata GPA ya 3.7, na hakuweza kuajiriwa kwa sababu vigezo viko wazi: haakuwa na 3.8 na zaidi. Ila naasikia anafundisha Open University sasa.

Kwa hiyo nadhani utaratibu huu wa GPA ndio transparent zaidi. Huna GPA hiyo, basi hujaqualify. Labda sasa useme wanapendelewa kuannzia 1st year kwa kupewa marks kubwa ili mwishoni wapate GPA kubwa. Lkn hilo sio kweli na naweza hata kuthibitisha. Watu waliopata 3.8 darasani kwetu walikuwa very intelligent na hard working. Wanadesrve na hata kazi yao nina uhakika itathibitisha hivyo. Sina shaka nao HATA. Wengine sisi tulikuwa fifty fifty-disco kidogo, shule kidogo, pombe kidogo. Hao walikuwa bookworms na walokole! lol!

Na cha kufurahisha (au kushangaza!) zaidi nasikia hata kama unarudi na PHD yako kuomba kazi wanaangalia LL.B ulipata nini. Kama huna 3.8 na zaidi, PhD yako haitakupa kazi. Hili kidogo inaabidi waangalie, kwa kuassess uwezo wa mzu kwa vigezo vingine-eg. publications, etc. PhD ingeweza kuwa ni sababu tosha ya ajira-kama ana sifa nyingine. ili kama ni kweli, inabidi kidogo wajitathmini walegeze. Kingine ni kuwa law hawana historia ya kuajiri watu waliosoma vyuo vingine, hata kama una GPA ya 5!. Kwa hili nawaelewa sana kwa kuwa so far HAKUNA chuo kinachoweza sema kinafundisha lawyers vizuri zaidi ya UDSM-hasa kwa kuangalia tu qualifications za staff wao. So wana haki ya kutoamini products za vyuo vingine. Labda baadae ila sijui kama itawezekana.

So, kina dada wajitahidi tu wasidhani hapo kuna cha "special seats", "special consideration" etc. Hiyo ni academics, lazima wawe competent. Kama wewe sio moto, sio baridi kama sisi wengine, maliza zako nenda law school njoo mtaani tupuyange mahakamani. Waache wenye sifa watufundishie wadogo zetu huko.
Safi...Great Thinkers
 
Siku hizi hakuna kupokewa kama unavyosema kwa sababu utaratibu wa ajira umebadilika. Mtu unatakiwa kuomba kwani chuo hakiwezi kuajjiri kila aliyepata 3.8. Mf. Kulee arts wakipata 3.8 watu 80 wata"pokewa" wote? Hilo haliwezekani. Usisahau kamba miaka hiyo yenu waanafunzi mlikuwa wachache sana.
Ila pale law kwasasa kila anayepata 3.8 na zaidi anabakizwa kwa sabbu siku zote demand ni kubwa kuliko supply. Hilo la kuomba ni fomality, na hakuna aliyewahi kuachwa. In fact, wanaanza hata kuwasomesha hata kabla ajira hazijatangazwa. Zikitangazwa wanasubmit applications tu na kuchukuliwa kama formality tu. Hakuna interview wala nini. Ila hawachukui mtu aliyesoma nje ya UDSM. Lazima uwe una LL yao. Hadi sasa walimu wote pale wamesoma degree yao ya kwanza (LLB) pale.

Kwa hiyo ni utaratibu ambao ni very transparent.

This is a good narration of the story. Mimi nilikuwa na wasiwasi kuwa he! how come miaka yote wasichana wasipate 3.8 GPA, hata mmoja jamani, lakini from your story looks like so! they do not have the right qualifications.
Utaratibu wa zamani way back 1983 nilipokuwa pale, mtu akipata GPA inayotakiwa ilikuwa ni kupokelewa siyo kuomba (sending aplication letter) unachukuliwa tu, labda kama hutaki kubaki!
 
Wewe unasema hayo kwa sababu hujasoma law. Tatizo sio kiingereza kwa sabbu hata kwawanafunzi wa kuleuingereza law ni sio rahisi. anya survy yako uniambie ni wapi duniani law ilishawaahi kuwa rahisi. Angalia hata wanafunzi wanaochaguliwa kusoma law tu utajua. Ni wale wenye alama za juu zaidi. I mean cut-off points zao duniani kote ni kubwa kuliko wengine-kuliko hao wa science. So, ni law kama study ndio ngumu. Ni kitu kinachohitaji sana akili nyingi hasa ya kuargue na reasoning. hiyo science watu wengi wanasema ni ngumu ka sababu tu ina hesabu. Ila ukipata ambao hesabu sio tabu, science sio tatizo kwao. Law ni tofauti sana, sio sawa na science, lkn sio sawa na literature pia. dio maana nchi nyingine huwezi soma lw hadi kwanza usome degree nyingine kanza i.e. B.A. au Bsc. Then ndio uanze LLB.
Kusema kweli Law haina ugumu wowote ule sasa sielewi kinachofanya watu washindwe kupata GPA ya 3.8 ni nini.

Huwezi kabisa kulinganisha ugumu wa Law na baadhi ya masomo ya sayansi, kwa mfano. Sasa iweje kwenye sayansi watu wapate kirahisi GPA kubwa kuliko Law?

Nini kigumu kwenye Law? Latin legalese au?
 
Wewe unasema hayo kwa sababu hujasoma law. Tatizo sio kiingereza kwa sabbu hata kwawanafunzi wa kuleuingereza law ni sio rahisi. anya survy yako uniambie ni wapi duniani law ilishawaahi kuwa rahisi. Angalia hata wanafunzi wanaochaguliwa kusoma law tu utajua. Ni wale wenye alama za juu zaidi. I mean cut-off points zao duniani kote ni kubwa kuliko wengine-kuliko hao wa science. So, ni law kama study ndio ngumu. Ni kitu kinachohitaji sana akili nyingi hasa ya kuargue na reasoning. hiyo science watu wengi wanasema ni ngumu ka sababu tu ina hesabu. Ila ukipata ambao hesabu sio tabu, science sio tatizo kwao. Law ni tofauti sana, sio sawa na science, lkn sio sawa na literature pia. dio maana nchi nyingine huwezi soma lw hadi kwanza usome degree nyingine kanza i.e. B.A. au Bsc. Then ndio uanze LLB.

Hivi ni nini kilichokufanya udhani kuwa mimi sijasoma law? Ni mpaka niweke J.D. mbele ya jina langu ndiyo ujue nimesoma law?

Na kweli katika akili yako unaweza kulinganisha ugumu wa medicine na law?

Law ingekuwa ngumu hivyo basi nchi kama Marekani (nchi ambayo imepevuka sana kisheria) kusingekuwa na ma lawyers wengi hivyo hadi watu wengine wanasoma tu law just for the sake of it.

Na huo ugumu wa law hapo UDSM hata siuoni. Na kwa ujumla bado hujanieleza kwa utondoti ugumu wa law uko wapi.

Law haina ugumu kama ambavyo baadhi ya watu wanataka tuamini. Na usidhani ni wewe tu uliyesoma law. Wapo na wengine ingawa hawapendi kuvuma.

Na hao ma lawyer waliosoma UDSM mbona hawana uwezo wowote ule wa kujenga hoja ulio extraordinary? Tena wengine wamo humu humu lakini hata kuzisoma sheria na kuzielewa tu ni kazi. Watu hawajui hata matumizi ya modal verbs katika legalese.
 
Niliassume hujasoma law kutokana na mazungumzo yako. Basi kama ulisoma law hongera zako kwa maana naamini una GPA ya 3.8 na zaidi. Na inawezekana pia umesoma UDSM.
Nilichomaanisha ni kuwa sio lazima kuwa science yoyote ni ngumu kuliko law. Nakubali huwezi linganisa law na medicine, na ndio maana degree ya medicine haina GPA. Ni ama pass au fail.
Na sijasema lazima kila aliyesoma UDSM ajenge hoja. NIlisema ni huo ujengaji wa hoja unaowafanya wanafunzi wafikie hiyo 3.8. Kwa hiyo, ina maana kuwa ni ngumu zaidi kuwaconvince walimu wa UDSM kuliko wale wa vyuo vingine. Na inajulikana sabbu-wengi wa pale udsm wan PhD wakati huko kingine wengi wana LLM tu au LLB na waanafundisha na kutunga mitihani.

so usinielewe kwamba nimesema kila aliyesoma udsm anajua kujenga hoja. na hata waliosoma kwingine wanaweza au hawawezi hayo. Hilo ni suala la mtu mmoja mmoja. Ila walimu wa UDSM ni more qualified, hilo halina ubishi. Na hii inakuwa ndio sababu ya wao kuwa strict kuliko vyuo vingine, hence GPA za kawaida ndio nyingi.
Hivi ni nini kilichokufanya udhani kuwa mimi sijasoma law? Ni mpaka niweke J.D. mbele ya jina langu ndiyo ujue nimesoma law?

Na kweli katika akili yako unaweza kulinganisha ugumu wa medicine na law?

Law ingekuwa ngumu hivyo basi nchi kama Marekani (nchi ambayo imepevuka sana kisheria) kusingekuwa na ma lawyers wengi hivyo hadi watu wengine wanasoma tu law just for the sake of it.

Na huo ugumu wa law hapo UDSM hata siuoni. Na kwa ujumla bado hujanieleza kwa utondoti ugumu wa law uko wapi.

Law haina ugumu kama ambavyo baadhi ya watu wanataka tuamini. Na usidhani ni wewe tu uliyesoma law. Wapo na wengine ingawa hawapendi kuvuma.

Na hao ma lawyer waliosoma UDSM mbona hawana uwezo wowote ule wa kujenga hoja ulio extraordinary? Tena wengine wamo humu humu lakini hata kuzisoma sheria na kuzielewa tu ni kazi. Watu hawajui hata matumizi ya modal verbs katika legalese.
 
Back
Top Bottom