REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Wabunge vijana wote watakapomaliza miaka mitano,ambao watakuwa hawajafikisha
miaka 55 ni vema na wao wasilipwe mafao yao mpaka watimize umri huo.Maana kama
hata wale vibarua wanaofanya kazi kwa mkataba,wakimaliza mkataba wao hawawezi
kuchukua visenti vyao mpaka wafikishe umri huo,nafikiri hii sheria pia inawahusu wabunge.
Nawasilisha.......
miaka 55 ni vema na wao wasilipwe mafao yao mpaka watimize umri huo.Maana kama
hata wale vibarua wanaofanya kazi kwa mkataba,wakimaliza mkataba wao hawawezi
kuchukua visenti vyao mpaka wafikishe umri huo,nafikiri hii sheria pia inawahusu wabunge.
Nawasilisha.......