mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,929
- 757
noooo! apelekwe mahakamani, huko atakutana na Pilato kisha kitaeleweka kama kuna ushahidi wa kuthibitisha wizi wake sio kumchoma moto. Mnaoshangilia mwisho mtachoma na wasio na hatiaHawa hii ndiyo adabu yao....mimi ningekuwepo hapo ningeleta dumu la petrol!!