sikubaliani na wewe kwa sababu adhabu hii imekuwepo kwa muda sasa lakini vibaka hawaishi.adhabu kama hii wangefanyiwa mafisadi wawili tu.. Nadhani hii serikali yetu ingenyooka. Hii nchi haiwezi kuendelea bila viboko!
iyo sheria ya kigaidi ikiwepo hapa tz, wa kwanza kukatwa mikono utakuwa wewe. kuna watu wanajifanya wasafi sana kumbe wanakula rushwa na mali za serikali zisizo halali maofisini....ukiona mtu anashabikia sheria hii ya kiislam ujue kichwani zimepungua 90%..poleee samaki pole, tunavyowageuzageuza...poleeee samaki pole, tunavyowabinuabinua poleee samaki poleeee. ukosefu wa elimu ni ukosefu wa nguvu katika nchi...Ikiwepo sheria ya wizi kukatwa mikono haya yasingetokea, leo watu wanapinga sheria za kukatwa mikono wanajitengezea sheria ya kuuwana. Hapo sasa!
iyo sheria ya kigaidi ikiwepo hapa tz, wa kwanza kukatwa mikono utakuwa wewe. kuna watu wanajifanya wasafi sana kumbe wanakula rushwa na mali za serikali zisizo halali maofisini....ukiona mtu anashabikia sheria hii ya kiislam ujue kichwani zimepungua 90%..poleee samaki pole, tunavyowageuzageuza...poleeee samaki pole, tunavyowabinuabinua poleee samaki poleeee. ukosefu wa elimu ni ukosefu wa nguvu katika nchi...
jiulize kwa nini watu wajitengenezee visheria vyao.yawezekana tatizo sio uwepo wa sheria bali utekelezaji wake.Ikiwepo sheria ya wizi kukatwa mikono haya yasingetokea, leo watu wanapinga sheria za kukatwa mikono wanajitengezea sheria ya kuuwana. Hapo sasa!
sikubaliani na wewe kwa sababu adhabu hii imekuwepo kwa muda sasa lakini vibaka hawaishi.
jiulize kwa nini watu wajitengenezee visheria vyao.yawezekana tatizo sio uwepo wa sheria bali utekelezaji wake.
tatizo ni utekelezaji!!hata tukitumia sharia bado kwa tanzania hii kutakuwa na wa kukatwa mikono(vibaka) na wale wengine wa kuombwa warudishe mali(mafisadi)Tatizo sio utekelezaji, tatizo aliyekuumba kakuwekea sheria wewe unajifanya mjanja kuzirekebisha, haya ndio matokeo yake.
Tatizo sio utekelezaji, tatizo aliyekuumba kakuwekea sheria wewe unajifanya mjanja kuzirekebisha, haya ndio matokeo yake.
Mla na mpokea rushwa adhabu yake ni kifo, kukatwa mkono ni bora kuliko kuchomwa na matairi au wewe unaonaje?