gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Waziri anayeusika na mawasiliano, nadhani muda umefika sasa wa kutunga sheria za kuyabana haya makampuni ya simu kwa kutuadaa wananchi na promotion hewa,
hawa vodacom wanasema fb na twitter bure bt still wanakata hela,
tigo ongea 1/4 sh kwa sekunde, wanakata zaidi ya hiyo.
Tunaitaji sheria sasa.
hawa vodacom wanasema fb na twitter bure bt still wanakata hela,
tigo ongea 1/4 sh kwa sekunde, wanakata zaidi ya hiyo.
Tunaitaji sheria sasa.