ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Na sheria imeshatungwa inasubiri tu kupitishwa bungeni iwe ruksa kwa
mwanaume kufanya mapenzi na mkewe aliyefariki ndani ya masaa sita
baada ya kufariki. Ngoja tusubirie naona wamisri hawataki mzaha ktk
suala zima la maloveee!
Inawezekana hujasikia hii maneno lakini ukweli ndo huo. Very soon,
kama muswaada ukipitishwa basi wanaume watakuwa na uhuru wa 'kuwaaga'
wake zao wapendwa kwa kuwaachia 'vimiminika' walale navyo salama kaburini.
Usiku mwema wanajf!
mwanaume kufanya mapenzi na mkewe aliyefariki ndani ya masaa sita
baada ya kufariki. Ngoja tusubirie naona wamisri hawataki mzaha ktk
suala zima la maloveee!
Inawezekana hujasikia hii maneno lakini ukweli ndo huo. Very soon,
kama muswaada ukipitishwa basi wanaume watakuwa na uhuru wa 'kuwaaga'
wake zao wapendwa kwa kuwaachia 'vimiminika' walale navyo salama kaburini.
Usiku mwema wanajf!