KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wakuu naomba kueleweshwa juu ya mwenendo wamakosa yajinai na yasiyokuwa ya jinai,
Sheria inasemaje kwa mbunge aliyekutwa na kosa mahakamani na kutolewa hukumu na Hakimu wa Mahaka ya Jamuhuri ya muungano Tanzania juu yake??Sheria ina semaje??
Mfano kesi ya Andrew Chenge kama Mbunge wa Jimbo la Baliadi!Je sheria inazungumza vipi kwa mtu kama huyo je ubunge wake unaendelea au hukumu inakuwa imetengua ubunge wake??:help:
Sheria inasemaje kwa mbunge aliyekutwa na kosa mahakamani na kutolewa hukumu na Hakimu wa Mahaka ya Jamuhuri ya muungano Tanzania juu yake??Sheria ina semaje??
Mfano kesi ya Andrew Chenge kama Mbunge wa Jimbo la Baliadi!Je sheria inazungumza vipi kwa mtu kama huyo je ubunge wake unaendelea au hukumu inakuwa imetengua ubunge wake??:help: