Zabron Erasto
Member
- May 29, 2011
- 47
- 3
Wanajamii rafiki yangu tuko nae kazini ameshitakiwa na mkewe kwa kosa la kupiga na kumjeruhi jino, jino limelegea. Yuko nje kwa dhamana. Je sheria inasemaje kuhusu adhabu ya mtuhumiwa. Ni kifungo cha muda gani ama faini kiasi gani? Je ni zipi haki za aliyejeruhiwa anazopaswa kulipwa? Je mshitakiwa anaweza kuepuka adhabu ya kifungo kwa kigezo cha mfanyakazi? Natanguliza shukurani.