Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Habari ya leo ndugu wana jf,
Mimi ndugu zangu napenda kusikia na kusoma maoni yenu kuhusu hili jambo ninalotaka kulizungumzia... Lahusu maeneo yanayopaswa kujengwa mabaa, misikiti na makanisa,
Sheria inasemaje kuhusu hili? mana naona kama hakuna utaratibu mzuri unaosimamia mambo haya, siku hizi makanisa, mabaa na misikiti inajengwa katika makazi ya watu bila hata kujali jamii inayowazunguka.
Kwa mfano hili la mabaa, tena utakuta wanafungua muziki mkuubwa hadi watu wanaona kero,lakini pia sio baa tu.. kwa mfano makanisa pia.. utakuta wamefunga maspika makuuubwa utadhani wanaendesha ibada ya mtaa mzima..hata misikiti pia nayo wameweka maspika yao na kila baada ya muda utasikia wakiswali..tena ile mbaya ni ile ya alfajiri..
Sasa wadau embu niambieni hivi hawa wanaopima na kupanga miji huwa wanafikiria vitu kama hivi? au hawajui ni kero gani zinazotokea?
Mimi ndugu zangu napenda kusikia na kusoma maoni yenu kuhusu hili jambo ninalotaka kulizungumzia... Lahusu maeneo yanayopaswa kujengwa mabaa, misikiti na makanisa,
Sheria inasemaje kuhusu hili? mana naona kama hakuna utaratibu mzuri unaosimamia mambo haya, siku hizi makanisa, mabaa na misikiti inajengwa katika makazi ya watu bila hata kujali jamii inayowazunguka.
Kwa mfano hili la mabaa, tena utakuta wanafungua muziki mkuubwa hadi watu wanaona kero,lakini pia sio baa tu.. kwa mfano makanisa pia.. utakuta wamefunga maspika makuuubwa utadhani wanaendesha ibada ya mtaa mzima..hata misikiti pia nayo wameweka maspika yao na kila baada ya muda utasikia wakiswali..tena ile mbaya ni ile ya alfajiri..
Sasa wadau embu niambieni hivi hawa wanaopima na kupanga miji huwa wanafikiria vitu kama hivi? au hawajui ni kero gani zinazotokea?