Aloysius
Member
- Mar 1, 2011
- 80
- 9
Kuna kitu tukiita defence; sio kila anye Ua uadhibiwa; tunaangalia makusudi, je umekusudia au la! zifuatazo ni utetezi unaoweza kukuacha huru nakuacha watu wakisingizia rushwa:
1. Provocation (kutiwa hasira na aliyedhuriwa. 2. Mistake (kukosea mfano kukosea kufyatua risasi mtu ambaye akupaswa kwa kutokujua) 3. Insanity (wazimu wa muda) 3. Self and property defense (kujiami au kuami mali).
1. Provocation (kutiwa hasira na aliyedhuriwa. 2. Mistake (kukosea mfano kukosea kufyatua risasi mtu ambaye akupaswa kwa kutokujua) 3. Insanity (wazimu wa muda) 3. Self and property defense (kujiami au kuami mali).