Sheria gani inazuia pornography Tanzania?

Pornography ni kama prostitution, hakuna sheria rasmi ya kuzuia bali filamu za porno zinazuiliwa na sheria ya Filamu Tanzania. Porn magazines zinazuiliwa na sheria ya magazeti ya mwaka 1976. Porn kwenye internet haizuiwi na sheria yoyote kwa sababu mpaka sasa Tanzania hatuna any cyber legistlation.

Sheria hizo zote hazizuii porno as porno bali zinazuia filamu ama picha zozote zinazolwenda kinyume cha maadili ya Mtanzania na zinahusu public. Kutumia porn video kama sex orientation kwa lengo la kudumisha penzi ama kunusuru ndoa zenye hatari ya kuparaganyika kwa unsatisfactory sexual life is justified reason,

Ndio maana wadada zetu wanaotumia miili yao kama kitega uchumihawavunji sheria yoyote, na wale wanaokamatwa hushitakiwa kwa kosa la uzururaji na sio prostitution. Kulitokea kesi dhidi ya uendeshaji madanguro, sikumbuki walitumia sheria gani.
Kama mpaka Monday utakuwa hujapata, I'll be in a better position kukupatia references.


Kila kitu kiko covered kwenye sheria zetu,kwa mfano kuendesha danguro,kufanya umalaya,ufiraji tafuta sheria ya kanuni ya adhabu ( Penal Copde) kwenye chapter inayosema Offences against Molarity. Tatizo ni ushahidi, mfano umesema kwa wanaouza miili yao kuwa hakuna sheria ndio maana ufunguliwa mashitaka ya uzururaji, ukweli ni kwamba sheria ipo bali ushahidi ndio kikwazo,kama kuna proof ya uzembe na uzururaji wanaweza kufungwa,vinginevyo sheria zetu zimeprovide yote hayo yaani makosa mbalimbali likiwemo la kutembea uchi hadharani,yaani 'indicent exposure'.
 
Back
Top Bottom