Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Nimejaribu kutafuta kwa haraka sheria inayokataza pornography katika Tanzania. Najua ipo mahali fulani. Sijui kama ni ile ya utangazaji au ya magazeti au ya ndoa au SOSPA n.k Kama kuna mtu naomba anielekeze kwani kuna jambo muhimu sana nataka niliandikie makala..