Nasikia kwenye serikali ya Muungano status ya Shein ni kama ya Sofia Simba, ni kweli?
Wewe huioni. But sisi tunaziona faida yake, ndio maana we won't let it go!
Wana JF, Nimejaribu kumwangalia kwa umakini JK kwenye sherehe ya muungano, tofauti na tulivyomzoea ameonekana mwenye mawazo sana!!, namshauri avunje baraza lake leo au kesho ili arudi normal!!
Hivi mlinzi wake siku hizi ni nani baada ya sheikh Yahaya...maana ukiona hivyo ujue alikuwa na kila dalili za kudondoka.....Wana JF, Nimejaribu kumwangalia kwa umakini JK kwenye sherehe ya muungano, tofauti na tulivyomzoea ameonekana mwenye mawazo sana!!, namshauri avunje baraza lake leo au kesho ili arudi normal!!