Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
why billal anaapa kwa katiba? yeye muhuni km kingunge ngombalemwiru? why hawaapi kwa quran
bilala ni mkomunisti asiye amini mungu.......kaamua aape kwa katiba tu
why billal anaapa kwa katiba? yeye muhuni km kingunge ngombalemwiru? why hawaapi kwa quran
haya jama mkomunisti gharib bilal ndio keshaingia ikulu ..............lazima tutoke kipovu
Mbona anaongea haraka haraka sana. Au anaogopa kuanguka kabla hajamaliza kuapa?
We ulipiga kura mwalimu?
mtangoja sana, watoto wa belzebubu
sijatimiza sifa za mpiga kura.......:$
bilala ni mkomunisti asiye amini mungu.......kaamua aape kwa katiba tu
haki ya mkwere ipo pale pale ........haiondoki kwa longolongo la gaijin.Basi mwache mkwere apate haki yake ya kuapa "kututumikia" watanzania. Acha longolongo.
belzebubu ina maana gani ....maana hata mwalimu imempiga chenga.
Angalau yeye maana katiba ni ya wanadamu lakini huyo wa Quran atajiju maana Mungu hakuna kumtania
Kiduku!!!!!
Piii! Piii! Wa Marlaw.
Hiyo dua ya kiislam mbona ya fitna sana??????????? Maneno gani hayo yakichochezi? Huyu ni shekhe au sheta....
Hiyo dua ya kiislam mbona ya fitna sana??????????? Maneno gani hayo yakichochezi? Huyu ni shekhe au sheta....