KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mimi naona kama sherehe hizi zimedoda. Watu mbona ni wachache sana isivyo kawaida? Labda tusubirie tuone.
Ze comedy hawapo? Marlow je?
Mimi naona kama sherehe hizi zimedoda. Watu mbona ni wachache sana isivyo kawaida? Labda tusubirie tuone.
Ninaomba munijulishe zilipo ofisi za Chadema, leo nakwenda kuchukua kadi rasmi.
Iv huyu Ridhiwani ni nani!!Nimemuona anashuka kwenye gari ya hatari anafunguliwa mlango huku akiwa na security,najiuliza mimi na Riz1 tuna tofauti gani!!Kweli hapa tumepata uozo tu jamaa ajajifunza chochote kwenye haya matokeo,Wananchi tufunge Mkwiji coz khali ni mbaya bora tutokako kuliko tuendako.
Sasa anawasili Raisi wa Jamuhuri ya Kenya mheshimiwa Mwai Kibaki ambaye naye pia aliingia madarakani mwaka juzi kwa mfumo kama huu wa JK ila yake ilikuwa kali ya kuapishwa fasta fasta
Jamani kwa kweli hii inatisha sana... kwanza ameingia kama kiongozi na ameingia baada ya viongozi wengine kuwa wameshaingia wakiwamo wastaafu, wageni kutoka nje ya nchi na mabalozi na ameingia na kwenda moja kwa moja eneo la wageni mashuhuri (VIP). Hakuna tatizo kwenda VIP maana pia ni sherehe ya familia, lakini angefika mapema na si kama kiongozi
anaweza akaanguka kama jangwaniNahisi kuna kituko kitatokea kwenye kuapishwa kwa JK si unajua unapoingia madarakani kwa nguvu mambo hayaendi sawia ngoja tuone nasubiri kwa hamu
anaweza akaanguka kama jangwani
jay zee:smile-big::smile-big:Kabla mwali mwenyewe hajaingia tunafahamishwa Raisi wa South mkulu Jacob Zuma ataingia hivi punde