Sherehe za harusi/ndoa

Unajua ukweli ni kwamba kwenye harusi nyingi more than 60% ya wahudhuriaji hawamjui bwana wala bibi harusi
 
Nimewahi kuwatch sinema nyingi sana za ulaya na marekani zenye harusi ndani yake na i tend to like them, they are simple na nyingi zinafanyika hapo hapo home na watu wanasherehekea kwa muda mfupi (kama ni lazima) then wanasambaa. Huku kwetu mpaka watu wakamuane weeeee kha! Hapa nina kadi za zaidi ya 200,000 si watanilaza njaa hawa haki ya nani?

Sio kulala njaa, utalala jela kwa kukopa ili uridhishe watu. Lakini umeona harusi ya Mark Zuckerberg it was in the back yard of their house. Unalisha watu 500 halafu hata honeymoon hakuna, faida yake nini.
 
Sio kulala njaa, utalala jela kwa kukopa ili uridhishe watu. Lakini umeona harusi ya Mark Zuckerberg it was in the back yard of their house. Unalisha watu 500 halafu hata honeymoon hakuna, faida yake nini.
Mine will be at the back yard as well and wont exceed 100 people
 
sherehe kubwa inatia heshima kubwa mjini mkuu.....na ukizingatia most cases it happens once a time in lifetime.....

tatizo sio sherehe kubwa, tatizo ni michango......
Kama una pesa yako fanya sherehe kubwa lakini sio kutia heshima kwa hela ya wenzio........
Kuna mtu alitaka sendoff ya milioni 15, kaulizwa wewe una shilingi ngapi akasema hana hela kwa kuwa ndo kamaliza shule hajapata shughuli..... Sasa ufahari wa nini? Heri tungemchangia mtaji kuliko kunufaisha function halls
 
Kaka nimeielewa hii kwa kina sana na nimeiexperience pia baada ya kuanza kuhudhuria kwenye kamati za Harusi. But headache wanayoipata kwenye kutafuta michango made me hate the whole thing

ahahahahaaaaaaaaaaaaaaa_wanageuka ombaomba,....me hate this bhana.
 
tatizo sio sherehe kubwa, tatizo ni michango......
Kama una pesa yako fanya sherehe kubwa lakini sio kutia heshima kwa hela ya wenzio........
Kuna mtu alitaka sendoff ya milioni 15, kaulizwa wewe una shilingi ngapi akasema hana hela kwa kuwa ndo kamaliza shule hajapata shughuli..... Sasa ufahari wa nini? Heri tungemchangia mtaji kuliko kunufaisha function halls
Mi sitaki michango ya mtu zaidi ya watu wangu wa karibu sana wasiozidi 10, wengine watapewa mialiko tu
 
Michango ni moja ya shughuli za kijamii, kacha kuchangia ije siku na wewe una shughuri utaona umhimu wake.

Inategemea kuchangia nini, huyu kasema ya harusi. Kwa kifupi ni upuuzi wa kupenda kujikwangua kwa issue ya siku moja ilhali una majukumu yanakukabili.

Inferior people hudhania life superiority itakuja kwa kuwaalika kwa sherehe. Hakuna anayefikiria mtaishie, wote wanafikiria mtafanikishaje sherehe. Mnaanza day 1 na madeni, kisa ufahari. Bora mawazo haya yawe ya mwanamke
 
Inategemea kuchangia nini, huyu kasema ya harusi. Kwa kifupi ni upuuzi wa kupenda kujikwangua kwa issue ya siku moja ilhali una majukumu yanakukabili.

Inferior people hudhania life superiority itakuja kwa kuwaalika kwa sherehe. Hakuna anayefikiria mtaishie, wote wanafikiria mtafanikishaje sherehe. Mnaanza day 1 na madeni, kisa ufahari. Bora mawazo haya yawe ya mwanamke
Haya maneno uliyoyasema hapa mazito!
 
namshukuru MUNGU kwa kunileta dunian nikiwa kama mwanaume rijali nitakae mwamisha mwanamke kutoka ukoo wao na kujaza ukoo wetu
ahahahahahhahahhahahha haya bwana!mwamba ngoma...........................................
 
ndivyo inavyopaswa kuwa, ukimaliza shughuli yako huna madeni kwa mtu.....
Yeah, hii habari ya kuongelewa mtaani kila mtu analalamika "nimetoa hela nyingi but nimekunywa soda moja siyataki kabisa
 
Sherehe hazina umuhimu wowote, mbona mtoto akikosa ada ya shule watu ni wagumu kumchangia? je michango inawanufaisha wana ndoa?
 
Nimewahi kuwatch sinema nyingi sana za ulaya na marekani zenye harusi ndani yake na i tend to like them, they are simple na nyingi zinafanyika hapo hapo home na watu wanasherehekea kwa muda mfupi (kama ni lazima) then wanasambaa. Huku kwetu mpaka watu wakamuane weeeee kha! Hapa nina kadi za zaidi ya 200,000 si watanilaza njaa hawa haki ya nani?
Tena wenzetu kama sio ndugu hata kwenda unaona aibu...
 
Watu wengine hupenda sherehe kubwa kwa ajili ya sifa tu.
Kuna rafiki yangu m1 alijiingiza kwenye mkopo eti anifunike kwenye sherehe.. Mwisho wa siku kamaliza sherehe kwa kubaki na madeni lukuki..Taabu yote ya nini?
Kikubwa ni upendo tu hata ukifanya sherehe ya 500,000 ni poa
 
Watu wengine hupenda sherehe kubwa kwa ajili ya sifa tu.
Kuna rafiki yangu m1 alijiingiza kwenye mkopo eti anifunike kwenye sherehe.. Mwisho wa siku kamaliza sherehe kwa kubaki na madeni lukuki..Taabu yote ya nini?
Kikubwa ni upendo tu hata ukifanya sherehe ya 500,000 ni poa
Na ndio maana ndoa nyingi zenye misherehe ya kufa mtu huwa hazidumu sana coz hazikujengwa kwenye love
 
Bongo ni stress tu,ndio maana kuna watu wanaishi kisela wanaogopa kufanya harusi kuepuka gharama,kwanza stress zinaanzia kwenye kutoa mahari huko utajiwe sijui mkaja wa nani,khanga ya bibi,koti la babu af uje kwenye harusi
mshahara wenyewe makato kibao!
 
Back
Top Bottom