Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Walioko UK,ni matunda ya education system ya Tanzania,kushindwa kuanalyse,brainwashing uswahili na ufisadi ambao unavuka mipaka.Hata academically wengi ni poor,wangekuwa bongo wengi wangekuwa jobless!
Ni tofauti na wale wa State,wana Jumuia nzuri sana ,non-political .Ukienda Houston,Chicago,
Wichita ,Minnesota .
Mkuu taratibu sio wote walio UK wako kwenye huo upuuzi.