Sherehe ya miaka 50 ya Uhuru wa Uganda-Maonyesho ya Kivita

Lambardi

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
16,488
17,350
Wana JF heshima kwenu,
Leo majirani na ndugu zetu wametimiza miaka 50 ya uhuru wa nchi yao,twawapongeza sana kwa maendeleo waliyofikia na mapinduzi mengi yaliyopita hapo katikati.

Nimeshtushwa kidogo nilipoona show kubwa na ya muda mrefu ya ndege zao za vita,kubeba vifaa zikirindima kwenye anga la mji wa Tololo (kama sijakosea)...nikajiuliza maswali mengi sana,kwa nini wametuonyesha uwezo wa jeshi lao zaidi?au kuna mambo ya chini ya kutunishiana na nchi jirani??ni mtazamo wangu napenda kujua!
 
Kodi yao wanaitumia vizuri! wananunua silaha nzito! sisi ni ufisadi kwenda mbele tunanunua mabomu chakavu hatimaye yanalipuka yenyewe. tunanunua chopper chakavu,moja ilianguka usa river na kumuua mke wa Brigadier General! Shimbo anatuhumiwa kula fedha za askari walioenda kulinda amani somalia.
 
Wana JF heshima kwenu,
Leo majirani na ndugu zetu wametimiza miaka 50 ya uhuru wa nchi yao,twawapongeza sana kwa maendeleo waliyofikia na mapinduzi mengi yaliyopita hapo katikati.

Nimeshtushwa kidogo nilipoona show kubwa na ya muda mrefu ya ndege zao za vita,kubeba vifaa zikirindima kwenye anga la mji wa Tololo (kama sijakosea)...nikajiuliza maswali mengi sana,kwa nini wametuonyesha uwezo wa jeshi lao zaidi?au kuna mambo ya chini ya kutunishiana na nchi jirani??ni mtazamo wangu napenda kujua!
Hawamtishi mtu, takwimu za kiintelegensia ni kwamba kati ya nchi tatu;tanzania, Uganda na Kenya. Kenya ndiyo inajeshi bora na lenye zana za kisasa kivita. Inafuatiwa na na Uganda ya mwisho ni Tanzania.
Pia silaha zao walikuwa wanamwoonesha Besigye(mpinzani wa Mseven), Kagame na Joseph Kabila.
 
Hawamtishi mtu, takwimu za kiintelegensia ni kwamba kati ya nchi tatu;tanzania, Uganda na Kenya. Kenya ndiyo inajeshi bora na lenye zana za kisasa kivita. Inafuatiwa na na Uganda ya mwisho ni Tanzania.
Pia silaha zao walikuwa wanamwoonesha Besigye(mpinzani wa Mseven), Kagame na Joseph Kabila.

Isije kuwa wanatunishiana na Kenya hasa ugomvi wao wa kisiwa cha migingo!!
 
Honestly speaking UGANDA kwa sasa wapo mbali sana kijeshi na sidhani km TZ tunaweza kuwafight nao kwa sasa...Inshort ata DAVIS MWAMUNYANGE nae alikuepo ktk sherehe hizo na ameona jinsi Uganda walivyo na fighter jets za kisasa different types ware displayed eg Mig and Sukhoi za kisasa achilia mbali types of copter and attacking copters....So ni somo tosha kwetu kwani sisi ndege zetu za kivita yani ni zakizamani sana helcopters ndo hatuna kabisa zaidi ya kale kamoja ka police...TZ ina magari makubwa ya kijeshi logistic military vehicle kazi yake kubwa ni kubeba mahindi na kusafirisha wanajeshi tu....
 
Uwezo wa jeshi haupimwi kwa idadi ya ndege! Tanzania bado wana jeshi imara na experienced than all the 4 States in EAC
 
watu hawajui kama kuna fukuto chini kwa chini kati ya Kenya na Uganda! Pale Kibaki kaonyeshwa hata kama wametungua ndege nne za Uganda bado wanazo nyingine!
 
Kodi yao wanaitumia vizuri! wananunua silaha nzito! sisi ni ufisadi kwenda mbele tunanunua mabomu chakavu hatimaye yanalipuka yenyewe. tunanunua chopper chakavu,moja ilianguka usa river na kumuua mke wa Brigadier General! Shimbo anatuhumiwa kula fedha za askari walioenda kulinda amani somalia.

Wananchi je Uganda wana huduma bora za kijamii?

Hali ya umaskini ikoje Uganda?

Unafikiri Uganda wanaelekeza matumizi za fedha ya walipa kodi kwa kiwango cha kutosha katika sekta za kupunguza ugumu wa maisha kwa mwananchi mlalahoi? (miradi ya maendeleo)

Je matumizi haya ununuzi wa silaha sio ya kulinda utawala wa Museveni?
 
watu hawajui kama kuna fukuto chini kwa chini kati ya Kenya na Uganda! Pale Kibaki kaonyeshwa hata kama wametungua ndege nne za Uganda bado wanazo nyingine!

asante kwa kunijuza kama unajua mengi zaidi tiririka mkuu
 
Najua kuwa Uganda wana aim kumtoa Kenya kuwa no 1 kwenye uchumi na mengineyo...ina maana wame aim higher than no 2 ambapo ndio tulipo sisi TZ;ni mtazamo mzuri kuwa na malengo ya juu zaidi!!
 
Ni kweli UPDF wako kwenye process ya kutengeneza the most capable airforce in EA na jamaa Museveni ananunua brand new equipments sio kulinganisha na waKenya wanadai ndo modern zaid wakati kila kitu second/third hand! Zile Sukhoi gunshis ni fourth generation ila bado training wako nyuma kumbuka Copter ya John Garang na juzi wameangusha nyingne nne ila hawawawezi vijana wa Maj Gen Ulomi
 
Back
Top Bottom