Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Siku moja mume na mke wake waliandaa sherehe ya kumtahiri kijana wao... Wakatayarisha kadi kwa lugha ya Kiengereza lkn kwa bahati mbaya wakashindwa kuandika 'Sherehe ya Kutahiri' kwa Kiengereza. Wakajadili na hatimaye wakaamua kuandika "CEREMONY OF CUTTING ****ING INSTRUMENT"....!