Shenaz

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
Mie tangu Shenaz afariki basi sina hata ham ya kutazama DVD za mipasho sasa je ni mwanamke gani kachukua nafasi yake huko Ilala au Kariakoo?


View attachment 37463


attachment.php
 
Msimchokonoe dada wa watu,yaliyopita yamepita na sote safari yetu ni moja,na aliye msafi achukue jiwe ampige
 
kweli mambo huja na kupita,

nikikumbuka vimbweka vya huyu dada mpaka nachoka kabisa..........

Big up SHENAZ..................
 
Niliwahi kulishika **** lake pale kaunta ya billcanas alipokatiza mbele yangu duh nilifarijika sana **** lilikuwa mpaka na kona...kila nafsi itaonja mauti
 
Back
Top Bottom