Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Kawaida tu hiyo, ndo maana kaka yako akiwepo hakusogelei
Kweli watu wamepinda jumla jumla...ina kawaida gani hiyo,lol!
Kawaida tu hiyo, ndo maana kaka yako akiwepo hakusogelei
inaelekea umri wake unakuwa kila mweziDah una nyumri mbili wewe?
Hapa ulisema una miaka 24
Haaahaaaaa! Jamaa 'nyumri' zake zinapanda na kushuka kama thamani ya ngawira za bongo!!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja kochi jirani na nilipokaa. Hii ikoje jfs? Kawaida au?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja kochi jirani na nilipokaa. Hii ikoje jfs? Kawaida au?
Ndio maana nasemaga siku zote bora ukae na shemeji yako hawezi kutembea na dada yake
si umeona hili limeshaanza kummezea mate shemeji yake
Siyo kama naleta madharau ila umri huo mimi nilishasepa SUA nikajianzishia maisha yangu mwenyewe ughaibuni na nikajisomesha mwenyewe na mdogo wangu akafanya hivyo hivyo. Alikaa na mimi semester moja ikabidi aanze, alikasirika lakini leo ameoa na yupo anafanya kazi bongo fresh tu. Demu wangu wa kitasha alishaanza kumsogelea, na huyo ni demu tu... nikamwambia asepe!!!Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, sijaoa kwasababu bado nipo shule,ninaisha kwa kakaanga. Kila ninapopiga stori na shem hupenda kunisogelea nakufanya jitihada za angalau kunigusa, pia huja kochi jirani na nilipokaa. Hii ikoje jfs? Kawaida au?