Shemeji Yangu Kamkimbia Mumewe na Mwanaye, Kisa, Mzungu na Range-Rover!!!!

Lol I cant believe,huyo Shemeji yako kamkimbia Mumewe ilhali ana Vitz,je sisi tulio na baiskeli itakuwaje?

haha hahaha! Wenye vibaiskeli mtakimbiwa na macho mtatobolewa.
Hahaha! Anselm umenichekesha sana.
 
mzungu mwenyewe kamwona mwehu kama kamwacha mumewe kirahisi hivyo itakuwa yeye? wanawake wengine bana, na mtoto nae kamsusa tena mwambie kaka yako akaombe ile partition order asimkaribie mtoto huyo kwa mita mia tano.
 
Tatizo aliondoka kwa mbwembwe sana ndo maana kurudi ni taabu bora angekuwa hapohapo home then labda angepata msamaha
Waswahili wanasema aliondoka kwa matarumbeta na vigelegele halafu tena akiwa ndani ya range sijui lilikuwa ni RANGE SPORT AU VOGUE:lol::lol:
 
Kila siku mimi naimba humu ndani wanawake baba yao mmoja mama yao mmoja,hebu angalieni haya madudu!
 
....
Pa kwenda hakawa hana. Huku kwa kaka yangu hatakiwi, alimtukana mumewe wa ndoa kwamba mwanamme gani wa kununua VITZ wakati wapo wa Range-Rover kitu ambacho kilimuumiza kaka yangu mno. Hapa tunapoongea, shemeji yangu hana pa kwenda, anajaribu kurudi pale alipomimina matusi. Wadau mnashauri vipi na huu ugonjwa wa wazungu unao kua kwa kwasi bongo. Huu ugonjwa wa vibabu vizungu kutoka na wake, watoto na binti zetu? ufanyweje, huu ni mjadala
eeeeeee!!!!!!!!! kwanza kabisa asirejee kwa vitz. upande mwingine mdada asikate tamaa chamsingi arejee kwenye ile club aliyokutana na Mzungu atapata mwingine mwenya Range , BMW , etc lol; Zaidi ya hapo arejee kwa MUNGU atubu na maisha yatakwenda vizuri
 
msiwalaumu wazungu hao bureeeeeeeeeeeee,jamani message sent kwa wakaka wa kiafrica/tanzania/weusi..wenzenu dada zenu tunataka marangeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:


unajua gharama ya range wewe kwanza magar mengne wanawake hayawapendez hlo bov c bora nikamjengee bibi kanyumba kakisasa awapige bakora wenzake. et rangeeeeeeeeeeeeeeeeee na zitajawatokea puan
 
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Firauni. Shemeji yaangu mwenye Umri wa miaka 28 ambaye amekuwa kwenye ndoa ya miaka 5 na kakaangu, hivi majuzi amemtoroka mumewe, bintiye wa miaka miwili na hata kuacha kazi yake kwa ajili ya mzungu mzee (kibabu) Huyu kibabu ambaye ni meneja (mkandarasi) wa barabara, alikutana na shemeji yangu kwenye club moja maarufu hapa mjini. Mkandarasi huyo akawa anampa shemeji yangu hela nyingi na hapo kiburi na jeuri ikamuingia akaanza kumfanyia kaka yangu vituko. Ikawa nyumbani hakai, hata wiki nzima haonekani sababu yake ni kwend kwa dadake tandika. Matokeo mume akaanza kumshuku mkewe, na uvumilivu wake ukawa unapungua. Siku moja mumewe akiwa kazini, hii ni miezi mitatu zilizopita, huyu dada alirudi siku moja mchana na Range-Rover kapakia vitu vyake kwenye gari na kutokomea. Hakujali cha mtoto wala cha nini. Akapotea kwa muda sasa, lakini kwa bahati kuna watu wamekutana naye Morogoro na huyo mzungu na taarifa hizo zikamfikia kaka yangu. alijikaza kisabuni bila kumwambia mtu. Sasa cha ajabu, baada ya kumtukana mumewe kwamba hana hela, yule mzungu pia kampiga chini wiki mbili zilizopita. Pa kwenda hakawa hana. Huku kwa kaka yangu hatakiwi, alimtukana mumewe wa ndoa kwamba mwanamme gani wa kununua VITZ wakati wapo wa Range-Rover kitu ambacho kilimuumiza kaka yangu mno. Hapa tunapoongea, shemeji yangu hana pa kwenda, anajaribu kurudi pale alipomimina matusi. Wadau mnashauri vipi na huu ugonjwa wa wazungu unao kua kwa kwasi bongo. Huu ugonjwa wa vibabu vizungu kutoka na wake, watoto na binti zetu? ufanyweje, huu ni mjadala

mwambie mzee wa vitz amsamehe walee mtoto tu
 
Mwambie Bro wako ajikaze kisabuni hivyo hivyo wala asirudi nyuma. Nitarudi...:playball:
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Firauni. Shemeji yaangu mwenye Umri wa miaka 28 ambaye amekuwa kwenye ndoa ya miaka 5 na kakaangu, hivi majuzi amemtoroka mumewe, bintiye wa miaka miwili na hata kuacha kazi yake kwa ajili ya mzungu mzee (kibabu) Huyu kibabu ambaye ni meneja (mkandarasi) wa barabara, alikutana na shemeji yangu kwenye club moja maarufu hapa mjini. Mkandarasi huyo akawa anampa shemeji yangu hela nyingi na hapo kiburi na jeuri ikamuingia akaanza kumfanyia kaka yangu vituko. Ikawa nyumbani hakai, hata wiki nzima haonekani sababu yake ni kwend kwa dadake tandika. Matokeo mume akaanza kumshuku mkewe, na uvumilivu wake ukawa unapungua. Siku moja mumewe akiwa kazini, hii ni miezi mitatu zilizopita, huyu dada alirudi siku moja mchana na Range-Rover kapakia vitu vyake kwenye gari na kutokomea. Hakujali cha mtoto wala cha nini. Akapotea kwa muda sasa, lakini kwa bahati kuna watu wamekutana naye Morogoro na huyo mzungu na taarifa hizo zikamfikia kaka yangu. alijikaza kisabuni bila kumwambia mtu. Sasa cha ajabu, baada ya kumtukana mumewe kwamba hana hela, yule mzungu pia kampiga chini wiki mbili zilizopita. Pa kwenda hakawa hana. Huku kwa kaka yangu hatakiwi, alimtukana mumewe wa ndoa kwamba mwanamme gani wa kununua VITZ wakati wapo wa Range-Rover kitu ambacho kilimuumiza kaka yangu mno. Hapa tunapoongea, shemeji yangu hana pa kwenda, anajaribu kurudi pale alipomimina matusi. Wadau mnashauri vipi na huu ugonjwa wa wazungu unao kua kwa kwasi bongo. Huu ugonjwa wa vibabu vizungu kutoka na wake, watoto na binti zetu? ufanyweje, huu ni mjadala
 
mimi sishauri, na sio lazima uchuke haya mawazo yangu. lakini kwa mimi huyo asingekua mke wangu tena.
 
duh! Dada kweli kakosa, lakini ndo yashatokea, kumbuka kuna mtoto kabinti kamiaka 2, wanaJF ushauri wowote tutakaotoa ujali pia maslahi ya huyu mtoto ambae anahitaji haki yake ya kulelewa, kutunzwa kusomeshwa n.k. ikiwezekana na wazazi wote. Pili huyu mdada kakosea tena sana, lakini tatizo kubwa ni ubinadamu wetu au call it madhaifu ambayo yanaweza kuja kwa kila mmoja wetu kwa njia tofauti mfano tamaa za kupenda pesa, magari, kiburi n.k. La msingi tuvumiliane ktk haya, tuzungumze tofauti zetu, tuwe tayari kuheshimiana na kurekebishana. To cut the story short....kaka mtu hana budi kumsamehe mkewe, watubu kwa Mungu, waanze maisha upya tena ya ucha Mungu!
 
nenda U-turn ukaone marange ya wake wa wazungu,kama sio marange basi manyumba ya ukweli,madini mazaga zaga kibao.....mwanamke gani asiyependa hivi jamani?.....hio ya kutolea uchungu mnh kaaaazi kweli kweli ukipewa zawadi utakataa kisa hujaitolea jasho?mie mwenzako sijivungi nikipewa kitu :lol::lol::lol::lol: tena range ndio kabisaaa nitasema asante halafu huyooooooooooooooo kuwaringishia mtaa wa pili kama sio kupeleka picha U- TURN ..:lol::lol:

...lakini at what cost?? Ndio maana mnaishia kufanyiwa mambo ya ajabu. mara mlazimishwe kulala na mbwa, mara muombwe kufanywa visivyofanywa basi ili mradi tabu tu, kisa? Range! raha ya hivyo vitu ni uvitafute mwenyewe kwa jasho lako. labda kama hayo nayo ni 'kutoka jasho'...!
 
...lakini at what cost?? Ndio maana mnaishia kufanyiwa mambo ya ajabu. mara mlazimishwe kulala na mbwa, mara muombwe kufanywa visivyofanywa basi ili mradi tabu tu, kisa? Range! raha ya hivyo vitu ni uvitafute mwenyewe kwa jasho lako. labda kama hayo nayo ni 'kutoka jasho'...!

hizi story za watu kulala na mbwa na kuliwa tigo ni stori tu zipo miaka nenda rudi...hamna mwenye uthibitisho wa hayo maneno.:embarassed2:
 
Back
Top Bottom