Shemeji Yangu Kamkimbia Mumewe na Mwanaye, Kisa, Mzungu na Range-Rover!!!!

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Firauni. Shemeji yaangu mwenye Umri wa miaka 28 ambaye amekuwa kwenye ndoa ya miaka 5 na kakaangu, hivi majuzi amemtoroka mumewe, bintiye wa miaka miwili na hata kuacha kazi yake kwa ajili ya mzungu mzee (kibabu) Huyu kibabu ambaye ni meneja (mkandarasi) wa barabara, alikutana na shemeji yangu kwenye club moja maarufu hapa mjini. Mkandarasi huyo akawa anampa shemeji yangu hela nyingi na hapo kiburi na jeuri ikamuingia akaanza kumfanyia kaka yangu vituko. Ikawa nyumbani hakai, hata wiki nzima haonekani sababu yake ni kwend kwa dadake tandika. Matokeo mume akaanza kumshuku mkewe, na uvumilivu wake ukawa unapungua. Siku moja mumewe akiwa kazini, hii ni miezi mitatu zilizopita, huyu dada alirudi siku moja mchana na Range-Rover kapakia vitu vyake kwenye gari na kutokomea. Hakujali cha mtoto wala cha nini. Akapotea kwa muda sasa, lakini kwa bahati kuna watu wamekutana naye Morogoro na huyo mzungu na taarifa hizo zikamfikia kaka yangu. alijikaza kisabuni bila kumwambia mtu. Sasa cha ajabu, baada ya kumtukana mumewe kwamba hana hela, yule mzungu pia kampiga chini wiki mbili zilizopita. Pa kwenda hakawa hana. Huku kwa kaka yangu hatakiwi, alimtukana mumewe wa ndoa kwamba mwanamme gani wa kununua VITZ wakati wapo wa Range-Rover kitu ambacho kilimuumiza kaka yangu mno. Hapa tunapoongea, shemeji yangu hana pa kwenda, anajaribu kurudi pale alipomimina matusi. Wadau mnashauri vipi na huu ugonjwa wa wazungu unao kua kwa kwasi bongo. Huu ugonjwa wa vibabu vizungu kutoka na wake, watoto na binti zetu? ufanyweje, huu ni mjadala
 
ampotezeeeeeeeeeeeee. Huyo hafai hata akimsamehe anaweza kupata mzungu mwingine tena kama huamini nenda kwenye website ya U-TURN
 
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Firauni. Shemeji yaangu mwenye Umri wa miaka 28 ambaye amekuwa kwenye ndoa ya miaka 5 na kakaangu, hivi majuzi amemtoroka mumewe, bintiye wa miaka miwili na hata kuacha kazi yake kwa ajili ya mzungu mzee (kibabu) Huyu kibabu ambaye ni meneja (mkandarasi) wa barabara, alikutana na shemeji yangu kwenye club moja maarufu hapa mjini. Mkandarasi huyo akawa anampa shemeji yangu hela nyingi na hapo kiburi na jeuri ikamuingia akaanza kumfanyia kaka yangu vituko. Ikawa nyumbani hakai, hata wiki nzima haonekani sababu yake ni kwend kwa dadake tandika. Matokeo mume akaanza kumshuku mkewe, na uvumilivu wake ukawa unapungua. Siku moja mumewe akiwa kazini, hii ni miezi mitatu zilizopita, huyu dada alirudi siku moja mchana na Range-Rover kapakia vitu vyake kwenye gari na kutokomea. Hakujali cha mtoto wala cha nini. Akapotea kwa muda sasa, lakini kwa bahati kuna watu wamekutana naye Morogoro na huyo mzungu na taarifa hizo zikamfikia kaka yangu. alijikaza kisabuni bila kumwambia mtu. Sasa cha ajabu, baada ya kumtukana mumewe kwamba hana hela, yule mzungu pia kampiga chini wiki mbili zilizopita. Pa kwenda hakawa hana. Huku kwa kaka yangu hatakiwi, alimtukana mumewe wa ndoa kwamba mwanamme gani wa kununua VITZ wakati wapo wa Range-Rover kitu ambacho kilimuumiza kaka yangu mno. Hapa tunapoongea, shemeji yangu hana pa kwenda, anajaribu kurudi pale alipomimina matusi. Wadau mnashauri vipi na huu ugonjwa wa wazungu unao kua kwa kwasi bongo. Huu ugonjwa wa vibabu vizungu kutoka na wake, watoto na binti zetu? ufanyweje, huu ni mjadala

Huyu shemji yako, lazima atakuwa ni mfuasi wa blogu ya U-turn. Kule ndo chuo kikuu cha mababu wazungu cha muzumbe. Kili Janga wa Babu Ralph na Kisa Maliq, naye kamuacha mumewe na mwanaye kusaka mzungu kwa binti mangeleza wa uturn
 
aachane naye tu, si alifanya hayo akiwa na akili zake timamu
utauliwa kwa maradhi kisa huruma za ajabu
 
huyo dada ni kicheche mnataka ushauri gani? tumpe amletee ngoma ndani mumewe ndio mtajua hafai??watu wengine sijui mkoje?:embarassed2:
 
Haya mambo huwa yapo! Ila naomba kuwa na moyo mkubwa wa kuhimili balaa la kukimbiwa au mke kuhamia nyumba ya jamaa mwingine kisa hela.
 
msiwalaumu wazungu hao bureeeeeeeeeeeee,jamani message sent kwa wakaka wa kiafrica/tanzania/weusi..wenzenu dada zenu tunataka marangeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
msiwalaumu wazungu hao bureeeeeeeeeeeee,jamani message sent kwa wakaka wa kiafrica/tanzania/weusi..wenzenu dada zenu tunataka marangeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:
si mfanye kazi ili msaidiane kununua hilo range,kwani mmepungua kiungo gani mpaka mnapenda vya kupewa:washing:
 
msiwalaumu wazungu hao bureeeeeeeeeeeee,jamani message sent kwa wakaka wa kiafrica/tanzania/weusi..wenzenu dada zenu tunataka marangeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!:lol::lol::lol::lol::lol::lol:
hebu acheni kuendekeza dhiki nyie maisha yenyewe ya kibongo mnayafahamu ya kua tumetoka kwenye familia duni.
 
si mfanye kazi ili msaidiane kununua hilo range,kwani mmepungua kiungo gani mpaka mnapenda vya kupewa:washing:

ooooh mbona kwa mzungu huambiwi hivyo?hayo ya kusaidiana hayapo,sie tunataka ya kupewa hutaki kunipa range nikienda kwa mzungu akanipa usimlaumu mzunguu!!!:lol::lol::lol::hatari:
 
ooooh mbona kwa mzungu huambiwi hivyo?hayo ya kusaidiana hayapo,sie tunataka ya kupewa hutaki kunipa range nikienda kwa mzungu akanipa usimlaumu mzunguu!!!:lol::lol::lol::hatari:
mhh kazi kwelikweli kama nihivyo wanawake wote wenye wazungu wangekuwa na marange mpenzi...ila range nzuri ni ile unayojua uchungu wake japo kidogo bure ghalii:lol:
 
Back
Top Bottom