Shemeji mh mh...

Mhh EXPERIENCEEE!!!!!!




chaka vbaya sana...yaan kama vile umeambiwa UMWELEZEE CHE GUEVARA afu wewe ukaanza kumwelezea LOWASSA...


AU umeambiwa elezea SOCIALISM we ukaelezea MICHAEL PORTERS THEORY...
 
shemeji anawivu Shemeji mkali Shemeji ananikaripia Shemeji kakosana na mpz wake Shemeji ananitaka Shemejiiiiiiiiiiiiiiiiii............
 
huyo ndugu yako ameshaachana na huyo kaka,
sasa kinachokufanya wewe uendelee kuwa karibu ya huyo kaka ni nini?
au ndio kuendelea kumuheshimu huko?
maana yake mpaka kufikia kukaripiana kwenye simu, achilia mbali kukutana,
inaonyesha mna kitu kinachoendelea hapo baina yenu!!!!!
Hapana sina kitu nae ila alikuwa rfk kipindi yuko na ndugu yangu
 
ms'swaga kwel huna hata ka upendo kwa Shemeji? Mana unavomjua utafikiri we ndo ulieachwa?
 
Watu wengine bana!Anyway mwambie aache tabia za ajabu,asipokuelewa usipokee simu wala usiende akuitapo!Akikufuata nenda juu zaidi kwa maana ya kwenye usalama!By tha way pole!
Asante
 
Kama hutaki kwenda naye mtamkie wazi, unajua wanawake huwa mna matatizo ya kufupisha maelezo. Unaanza kumdanganya eti niko buzy, ningekuja. unategemea nini kama si kusumbuliwa kila siku?
Ni kwel mi nilikuwa naogopa kumjibu vibaya ila kwa sasa nitajitahid kumpa ukwel
 
Bacha naomba kujua, mana inanihusu - kuna rafiki zangu wakaribu saana
The guy nimejuana nae for 3 years na the mdada 5 but close for 2 years..
Niliwakutanisha mapenzi yao (wana mwaka sasa) na wana bifu saizi na they both
confide in me ila nishaona wanaachana maana issue ngumu...

Wakiachana inabidi nichague upande mmoja tu??
kweli wifi chagua moja mapema ili yasije kukukuta kama mm
 
Bacha naomba kujua, mana inanihusu - kuna rafiki zangu wakaribu saana
The guy nimejuana nae for 3 years na the mdada 5 but close for 2 years..
Niliwakutanisha mapenzi yao (wana mwaka sasa) na wana bifu saizi na they both
confide in me ila nishaona wanaachana maana issue ngumu...

Wakiachana inabidi nichague upande mmoja tu??

inategemea, sijui nani hapo alikuwa karibu yako zaidi kabla hujaonana na huyo mtu wa pili,
na sijaelewa kama wewe ndo ulimsogeza karibu msichana kwa jamaa au vice versa?

nikijua haya,basi naweza sema neno...........................
 
Next time akukaripia mwambie akukome na asizoee kukukaripia..Hakika ataacha hiyo tabia..labda kama una feelings nae utashindwa kumwambia ukweli..tena ameachana na nduguyo futia mbali namba yake, ya nini?
nimeipenda sana hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom