King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Chezeiya mabinti wa mujini.
unajua rshps ziko za aina nyingi..kuna zingine unakuta jamaa hataki kabisa kusikia mwanamke wake yuko bar hata kama yuko na rafikie..kwa hiyo unaweza ukute jamaa kadanganywa kua bibie anaenda kwa ndg yake kumsalimia kumbe yuko bar au pengine hata hajamuambia chochote ila jamaa anajua bibie yuko tu nyumbani so inawezekana sana alikua pale hajafanya kosa lolote lakini kumbe jamaa wengine hawataki kabisa kusikia partners wao wako bar coz wengi hua wanaamini kua mwanamke mwenye heshima haruhusiwi kukaa bar tena mwenyewe bila ya jamaa yake
SMU Sijakusoma..Huo kwa kweli ni mtego! Hudhani pia kuwa inawezekana anataka kuona kiwango cha mapenzi (au loyalty) ulichonacho kwa huyo rafiki yako (mumewe)?
Kama ningekuwa ni mimi, ningem press huyo shemeji aniambie ukweli wote ni kwa nini anataka nimtunzie hiyo siri. Pengine Mungu anataka "kumwokoa" rafiki yako kupitia kwako...kuwa makini usimwache rafiki yako aangamie.
SMU ndio maana nimeshingwa kujudge in the first place..na nikaamua kuwashirikisha mzee!Yep! Kama kweli wanampenda rafiki yako, na unaona kuna dalili za kuangamia, utaacha aangamie?
Licha ya kutomtendea haki rafiki yako, lakini ahadi ya Mwana Tanu inasema Nitasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko. Lakini pia vitabu vya dini (zote) vinorodhesha kusema uwongo kuwa ni dhambi. Jiepushe na dhambi hiyoi kwa kusema kwa rafiki yako kile kilichotokea. Ukinyamaza na wewe utakuwa ni accomplice wa uhalifu huoHapa nilipo sijaijibu meseji na sijampigia simu shemeji kumuuliza chochote!!..Nimepanga nimyamaze kama meseji inavyosema but naona kama sitamtendea haki rafiki yangu...
SnowBall ,katika maisha yangu ya kila siku, ni nimejiwekea misingi fulani fulani ambayo mara nyingi inanirahisisha kufanya maamuzi. Inawezekana na wewe pia unayo ya kwako. Mmoja katika ya misingi hiyo ni kutendea wengine kile ambacho ungependa utendewe. Sasa katika kadhia hii umetuonesha kuwa huyo ni mke wa rafiki yako, hivyo pengine kuna uwezekano mkubwa ukataka kujiweka katika nafasi ya huyo rafiki yako. Sasa jiulize, kama ungalikuwa wewe ndiye mume wa huyo dada, ungependa kutendewa vipi na rafiki yako?SMU ndio maana nimeshingwa kujudge in the first place..na nikaamua kuwashirikisha mzee!
Wazo hilo linaniijia.. but how do i connect dots to conclude a malicious act??
Mwali umenisemea...Wala usiseme lolote. Hata ukihojiwa, umeona nini hapo?
Huna ushahidi wowote kwamba alikua akifanya makosa.
She just did not want you to disclose that to her man.
Ukisema utakua mbea. maybe atamwambia mwenyewe.
Anasubiri the right moment, ndio amwambie, au maybe
ana sababu zake za kumficha mumewe kuhusu mtoko huo.
We chuna, kaa pembeni. Ukiulizwa na rafiki yako maybe...
ila usijaribu kukurupuka na kumwambia rafiki yako. DON'T!
.... Mmoja katika ya misingi hiyo ni kutendea wengine kile ambacho ungependa utendewe. Sasa katika kadhia hii umetuonesha kuwa huyo ni mke wa rafiki yako, hivyo pengine kuna uwezekano mkubwa ukataka kujiweka katika nafasi ya huyo rafiki yako. Sasa jiulize, kama ungalikuwa wewe ndiye mume wa huyo dada, ungependa kutendewa vipi na rafiki yako?
Mr Rocky kwa kweli sikuona chochote na kiukweli baada ya kuwasalimia niliconcentrate kusoma magazeti yangu niliyokuwa nayo mzee..Nimeshangaa kupigwa biti asubuhi yake...
Hapa inategemeana mn na aina ya urafiki
ulionao na rafiki yako..
The Boss nimekusoma..
Kiukweli mshikaji ni jamaa yangu sana but sio miongoni mwa the best three friends of mine..
Ingawa pia kama ataipata habari (tuseme his wife was cheating)kwamba i knew the story na sikumuambia anaweza kunimind kimtindo..