Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
kuna dem wa rafiki yangu ambaye 2likuwa 2kiishi rum moja 2lipokuwa high xcul now amekuwa akinipigia cm ucku na kunitaka kimapenzi huku akijua kabisa mm na boyfrnd wake ni marafiki wakubwa na kibaya zaidi anasema yuko tayari kuachana na jamaa yake...!
Aisee vijana ..hebu muwe mnakuja hapa wakati tayari mmeshapiga gemu hivo vimeo vyenu mnatuchosa sasa kuwashauti mara shemeji ananitaka mara maza hausi ananitaka ...sasa nyie ni marijali kweli au watoto sio riziki nyie!!! hata gaude wangu hawezi kuuliza maswali haya maana ntamzabua vibao...mi nataka niitwe kwenye vikao vya kusikia kajaza mimba watoto wa jirani sio kucheka cheka mara ushauri mara kachana karata zangu mara sijui nini ....