tatizo lako kubwa umejawa na tamaa sna kama unajikuta hadi unamuota nikuonyesha jinsi gani ulivyonatamaa.sasa jaribu kuzishinda tamaa kwa kumpuunza yani muone wakawaida tu muone hana jipya zaidi ya aliokua nayo mkeo hapo utashinda vishawishi vyake.....
aiseee mi najua ntajikuta tuu naosgeleana naye af inakuwa flirting.......bora tu kutosninda hapo ....ukweli ni kuwa ukishinda naye utaanguka tuu....kujiepusha ni kukaa mbali na mazingira hayo kwa mida hiyo...mi NAJUA TU KAMA NI MIMI NATEGWA HIVO NTAANGUKA TUU....bora ndukiii kijiweni
Kama unampenda mkeo, kaa nae umweleze kuhusu jambo hilo. Pia epuka kuwa karibu na shemejio pepo la dhambi lisije likakuvamia, mbali na hapo jitahidi kujikeep busy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.