Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto asiwe sawa sawa kwa nini?
hawaja changia damu hawa ................hakuna hata remote sababu ya watoto kutokuwa sawa sawa
Haimaanishi hivyo hata kidogo, huyo shem nimemsomesha mwenyewe A-level, sister nimemsomesha O-level na nilikuwa nakaa nao pamoja wote.
Kwa uelewa wako mpana unadhani ungefurahia uhusiano wao? Sidhani kama angekuwa mtu mwingine ningehoji hivi ndugu!
Hata mie nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Haimaanishi hivyo hata kidogo, huyo shem nimemsomesha mwenyewe A-level, sister nimemsomesha O-level na nilikuwa nakaa nao pamoja wote.
Kwa uelewa wako mpana unadhani ungefurahia uhusiano wao? Sidhani kama angekuwa mtu mwingine ningehoji hivi ndugu!
Tatizo ni kuwa shemeji anataka kuoa dada wa jamaa. Lets make it simple: Kama wewe ni kidume umeoa familia X nayo familia X inakuja kuoa kwenu. Katika mila zetu za kibongo haikubaliki pengine kama mtakuwa mmechakachua maadili kwa kiasi cha juu kabisa.
Madame Hapo hakuna undugu, hiyo ilikuwa ni meeting Point tu, Wanaweza kuoana bila Tatizo, kama kweli wanapendena, Tatizo tu kama watakuwa wameanza kuvunja ile Amri.In real sense hakuna undugu ila ni ujamaa. Nafikiri sio njia mbaya ya kuzidi kuunganisha ujamaa.Gaijin me naona kama madhara yapo bwana mbona wanachanganyana hivo wakati tayari washaunganisha undugu
Maadili yanakuwa ya upande mmoja tu?Tatizo ni kuwa shemeji anataka kuoa dada wa jamaa. Lets make it simple: Kama wewe ni kidume umeoa familia X nayo familia X inakuja kuoa kwenu. Katika mila zetu za kibongo haikubaliki pengine kama mtakuwa mmechakachua maadili kwa kiasi cha juu kabisa.
nadhani hakuna tatizo mana hawana undugu,mi kuna watu nawafahamu wameoana ni binamu na wamelelewa pamoja, offcourse siku za kwanza watu walisema sana lakini sasa washazoeleka na wanaishi vizuri. usije ukamzua dadako kuolewa na huyo shemijio hlf baadae akakosa kuolewa ukalaumiwa wewe.
Mi nimekulia mazingira ambayo hakuna bindings za namna hiyo. Natumai na wengine pia ndio maana wanashangaa tatizo ni nini?Tatizo ni kuwa shemeji anataka kuoa dada wa jamaa. Lets make it simple: Kama wewe ni kidume umeoa familia X nayo familia X inakuja kuoa kwenu. Katika mila zetu za kibongo haikubaliki pengine kama mtakuwa mmechakachua maadili kwa kiasi cha juu kabisa.
Hi wana JF?
Ni hivi, kuna lililonikabili hivi sasa mpaka nakosa raha. Nimeoa na nimekuwa nikiishi na shemeji yangu wa kiume pamoja na dada yangu.
Huyu shem kaanza kujitegemea takribani miezi tano sasa ila tatizo langu ni kwamba yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na dada yangu baba moja mama mmoja na huyu shemeji yangu pia nae ni baba mmoja mama mmoja na mke wangu.
Niandikapo hivi ni kwamba hawasikii hawaambiliki na wanadai wanataka kuoana, jamani! hii inakubalika kweli kwenye jamii yetu?
Nimejaribu kuwaelekeza imeshindikana, hebu nishaurini hapa nitumie mbinu gani maana naona kama ni fedheha hivi.
Thanx sana.
Haimaanishi hivyo hata kidogo, huyo shem nimemsomesha mwenyewe A-level, sister nimemsomesha O-level na nilikuwa nakaa nao pamoja wote.
Kwa uelewa wako mpana unadhani ungefurahia uhusiano wao? Sidhani kama angekuwa mtu mwingine ningehoji hivi ndugu!