Uliona hata Speaker Sitta alivyouongoza mjadala huu? Tuachane na mawazo finyu kwamba kuna badiliko lolote la maana linaweza kuletwa na Bunge letu hasa baada ya vikao vya NEC ya CCM kutoa angalizo kwa Sitta.
Ukimwondoa Dr. Slaa na Christopher ole Sendeka, wabunge waliobaki kwenye vita ya Ufisadi waliobaki ni wasanii.