Sheli ya Engen Arusha yafungiwa, yalindwa na polisi

<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Ndiyo nimeshampata,</span></font><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Nashukuru kwa kunitetea maana Preta alitaka kunibana, Ok ukweli wenyewe ni huu, Engen zipo mbili yaani kituo Mianzini cha na kile kilichopo Makumira. Chenye matatizo ni kile cha Mianzini kilicho opposite na jengo na PCCB au karibu na Lenana bar. Kile kituo siyo cha Engen kwa maana ya ardhi lakini mwenye ardhi aliingia mkataba na kampuni ya Engen atengenezewe sheli ile kisha atakuwa ananunua mafuta Engen kwa muda wa miaka 15. Jamaa saizi hanunui tena mafuta Engen hivyo Engen wamekifunga kituo hicho baada ya jamaa kwenda kinyume na makubaliano au mkataba. Ndiyo maana umeona polisi mitaa hiyo wakilinda amani ili isitokee vurugu.<br />
Engen iliyopo mitaa ya Makumira kuanzia ardhi mpaka sheli zote ni mali ya Engen hivyo yenyewe haina mgogoro. <br />
Hi hayo tu wakuu.</span></font>
<br />
<br />
Asante kwa taarifa nzuri mkuu. Shukran pia kwa kuthibitisha kwamba Engen walimtengenezea jamaa Sheli. Hivyo Sheli si ya Engen. Sijui Mwita25 atasemaje hapo.
 
Sheli: Kituo cha mafuta. Engen: Mmiliki wa kituo cha mafuta. Hii ndiyo bongo waungwana kwahiyo siyo kosa kusema sheli ya Engen. Mzee Kifimbo cheza hajafika huku umasaini, bado anawatandika watu wa pwani, akija huku tutanyoosha kiswahili
Umeeleweka ngoja na mimi nijichimbie nitafute maana halisi ya neno Sheli maana kule kwetu usukumani sheli ni ng'ombe wa kulimia (not official) msinibane.
 
Hii inawezaikawa nimojawapoya zile zilizotangazwa gazetinikuwa zinatafuta mbia wa kuziendesha. Moja ya sharti ni kuwa na mtaji wa 180Mil.
 
Umeeleweka ngoja na mimi nijichimbie nitafute maana halisi ya neno Sheli maana kule kwetu usukumani sheli ni ng'ombe wa kulimia (not official) msinibane.
<br />
<br />
Sawa Mkuu, lakini kule kwetu Katesh kituo chochote cha mafuta tunaiita Sheli. Tunatofautisha kwa majina yao kwa mfano sheli ya total, sheli ya Gapco nk.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sheli: Kituo cha mafuta. Engen: Mmiliki wa kituo cha mafuta. Hii ndiyo bongo waungwana kwahiyo siyo kosa kusema sheli ya Engen. Mzee Kifimbo cheza hajafika huku umasaini, bado anawatandika watu wa pwani, akija huku tutanyoosha kiswahili
<br />
<br />
Jamani tusipotoshane. Shell haina maana ya kituo cha mafuta. Shell ni mojawapo ya kampuni iliyokuwa ikiuza mafuta na bidhaa nyingine za mafuta kama vilainishi-oil -na grease. Ilikuwa ni kampuni kubwa na maarufu kama zilivyokuwa Agip,BP,CALTEX,nk. Ukisema Shell ya Engen ni sawa na kusema Shoprite ya Game!
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Ndiyo nimeshampata,</span></font><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Nashukuru kwa kunitetea maana Preta alitaka kunibana, Ok ukweli wenyewe ni huu, Engen zipo mbili yaani kituo Mianzini cha na kile kilichopo Makumira. Chenye matatizo ni kile cha Mianzini kilicho opposite na jengo na PCCB au karibu na Lenana bar. Kile kituo siyo cha Engen kwa maana ya ardhi lakini mwenye ardhi aliingia mkataba na kampuni ya Engen atengenezewe sheli ile kisha atakuwa ananunua mafuta Engen kwa muda wa miaka 15. Jamaa saizi hanunui tena mafuta Engen hivyo Engen wamekifunga kituo hicho baada ya jamaa kwenda kinyume na makubaliano au mkataba. Ndiyo maana umeona polisi mitaa hiyo wakilinda amani ili isitokee vurugu.<br />
Engen iliyopo mitaa ya Makumira kuanzia ardhi mpaka sheli zote ni mali ya Engen hivyo yenyewe haina mgogoro. <br />
Hi hayo tu wakuu.</span></font>
<br />
<br />
Mkuu! 2nashukuru kwa taarifa nzuri yenye mtazamo wa ukweli! Na ndiyo uzuri wa WanaJF wanapendana utafikiri mapacha wa chumba kimoja.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Jamani tusipotoshane. Shell haina maana ya kituo cha mafuta. Shell ni mojawapo ya kampuni iliyokuwa ikiuza mafuta na bidhaa nyingine za mafuta kama vilainishi-oil -na grease. Ilikuwa ni kampuni kubwa na maarufu kama zilivyokuwa Agip,BP,CALTEX,nk. Ukisema Shell ya Engen ni sawa na kusema Shoprite ya Game!
<br />
<br />
nimekuelewa sana mkuu. Ila huku kwetu umasaini bado kabisa, hivyo ili ieleweke haraka lazima umention sheli ya fulani ndiyo mtu anakusoma. Hukt nyingi ni secondari za kata broda.
 
<br />
<br />
Jamani tusipotoshane. Shell haina maana ya kituo cha mafuta. Shell ni mojawapo ya kampuni iliyokuwa ikiuza mafuta na bidhaa nyingine za mafuta kama vilainishi-oil -na grease. Ilikuwa ni kampuni kubwa na maarufu kama zilivyokuwa Agip,BP,CALTEX,nk. Ukisema Shell ya Engen ni sawa na kusema Shoprite ya Game!
Mkuu umesomeka lakini kibongo hiyo imeeleweka ni sawa na KUSEMA AISEEE NIMEKWENDA MIMEMKUTA JAMAA HAYUPO! Kiukweli huwezi kumkuta jamaa alafu asiwepo lakini message inakuwa delivered. Hoja ya msingi ni sababu ya polisi kuwepo kituo cha mafuta Engen.
 
Mbona title haieleweki. Kila siku nimekuwa nikisema kwamba Shell, kama Engen, nayo ni kampuni ya mafuta. Sasa Shell ya Engen maana yake nini? Yaani ni sawa na kusema ''ITV ya TBC leo haipatikani''
Hakuna corelation katika point yako ndugu sio kupinga tu bila sababu.
 
<br />
<br />
Uwe unakuwa bas. Wewe kuna neno gan la kisw linaishia na L?

Wanasema SHELI. Wewe walazimisha mambo ya shell.

Sheli ni neno halisi la kiswahl.

Hapo mkuu umechemsha! Wala Sheli siyo Kiswahili bali ni Kisukuma, maana yake ni jozi ya ng'ombe wa kulima wakifungwa pamoja inakuwa ni sheli moja hiyo.

Kwa hiyo huyo ndugu anayetulazimisha tuamini kwamba SHELI ni kituo cha mafuta tumekataa!! Hiyo mkuu ni kampuni ya mafuta kama ilivyo ENGEN!
 
mwenye hiki kituo si ndio bob massawe ?jamaa mtoto wa town kweli.
 
Uwe mstaarab wangapi wanajua kama wewe?<br />
<br />
Tuache tuamin kama tunavyoamini.<br />
<br />
Sheli limeshazoeleka kama ni kituo cha mafuta.<br />
<br />
Sasa ubaya uko wapi?
<br />
<br />acha kuendekeza ujinga basi. Hapo juu umeshafundishwa sasa unang'ang'ania nn au nawe unafikkiri kwa masaburi un
 
Wahuni tu wale na meneja wake wezi na wachakachuaji wakubwa hapa mjini na walishawahi kuharibu magari ya watu kwa uchakachuaji mpaka wakashikilia na polisi kabisa ngazi ya mkoa na ni vile watanzania wapole wangefikishwa mbali leo maana uharibifu ulikuwa mkubwa sana na waliharibu magari mengi na walisababisha nikiuze ki Nadia changu D-4 bila kupenda wamepata malipo yao ya tamaa ya utajiri wa haraka.
 
Mbona title haieleweki. Kila siku nimekuwa nikisema kwamba Shell, kama Engen, nayo ni kampuni ya mafuta. Sasa Shell ya Engen maana yake nini? Yaani ni sawa na kusema ''ITV ya TBC leo haipatikani''
<br />
<br />

Wewe kama mtanzania unaiitaje kwa kiswahili? Unataka sema hata neno sheli linalotumika pia hujawahi kusikia? Ila sishangai kama mazoea ya kuweka mafuta hayakuanza tangu au hayapo...
 
Hapo mkuu umechemsha! Wala Sheli siyo Kiswahili bali ni Kisukuma, maana yake ni jozi ya ng'ombe wa kulima wakifungwa pamoja inakuwa ni sheli moja hiyo.<br />
<br />
Kwa hiyo huyo ndugu anayetulazimisha tuamini kwamba SHELI ni kituo cha mafuta tumekataa!! Hiyo mkuu ni kampuni ya mafuta kama ilivyo ENGEN!
<br />
<br />

Mmmmh kama lilitokea kutokana na kuwa na kampuni ya Shell na watu tukaitaga sheli tangu enzi za enzi unatuletea eti lakisukuma

Kubali ni sheli pia achia waliozoea kuweka mafuta watoto wa mjini wakuambie ujue pia
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;acha kuendekeza ujinga basi. Hapo juu umeshafundishwa sasa unang'ang'ania nn au nawe unafikkiri kwa masaburi un
<br />
<br />
watu wanasema Sheli na sio Shell ya mwita anayoilazmisha.
So mwita ndo yupo wrng
 
Back
Top Bottom