Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #21
<br /><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Ndiyo nimeshampata,</span></font><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Nashukuru kwa kunitetea maana Preta alitaka kunibana, Ok ukweli wenyewe ni huu, Engen zipo mbili yaani kituo Mianzini cha na kile kilichopo Makumira. Chenye matatizo ni kile cha Mianzini kilicho opposite na jengo na PCCB au karibu na Lenana bar. Kile kituo siyo cha Engen kwa maana ya ardhi lakini mwenye ardhi aliingia mkataba na kampuni ya Engen atengenezewe sheli ile kisha atakuwa ananunua mafuta Engen kwa muda wa miaka 15. Jamaa saizi hanunui tena mafuta Engen hivyo Engen wamekifunga kituo hicho baada ya jamaa kwenda kinyume na makubaliano au mkataba. Ndiyo maana umeona polisi mitaa hiyo wakilinda amani ili isitokee vurugu.<br />
Engen iliyopo mitaa ya Makumira kuanzia ardhi mpaka sheli zote ni mali ya Engen hivyo yenyewe haina mgogoro. <br />
Hi hayo tu wakuu.</span></font>
<br />
Asante kwa taarifa nzuri mkuu. Shukran pia kwa kuthibitisha kwamba Engen walimtengenezea jamaa Sheli. Hivyo Sheli si ya Engen. Sijui Mwita25 atasemaje hapo.