Shekif ukuu wa mkoa na ubunge

mbunge sio mtumishi wa serikali, si ndo pale tunaporudi kwenye mihimili mikuu 3, yaani Bunge, Serikali na Mahakama
 
kwa hoja ya kuacha ukuu wa mkoa iweke vizuri sijaelewa hapo, Cristina Ishengoma ni mkuu wa mkoa wa Ruvuma tena ni mbunge viti maalum, hili suala si ndo linalopigiwa kelele mtu kuwa na kofia mbili wakati wengine wanatafuta kazi,

Hapo ndio kuna tofauti. Ishengoma hakugombea jimboni. wanaogombea jimboni ndio wanaachia mara tu baada ya kupitishwa na Tume ya Uchaguzi ili awe mgombea jimboni. Na kama atashindwa kwenye kura za maoni (CCM) anarudi kwenye ukuu wake wa mkoa ama utunmishi wake serikalini. Mfano mzuri ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ndg Kandoro. |Aliposhindwa kwenye kura za maoni alirudi kwenye ukuu wa mkoa. Upo mkuu?
 
kwa hoja ya kuacha ukuu wa mkoa iweke vizuri sijaelewa hapo, Cristina Ishengoma ni mkuu wa mkoa wa Ruvuma tena ni mbunge viti maalum, hili suala si ndo linalopigiwa kelele mtu kuwa na kofia mbili wakati wengine wanatafuta kazi,

Ila sasa unaweza kuwa mbunge kisha ukateuliwa kuwa mkuu wa mkoa. Mfano ni akina Lukuvi, Dr. Msekela, Abdulaziz na Monica Mbega kwenye bunge lililopita. Hapa kunakuwa na mkanganyiko kwa kuwa hawa watu wanaondolewa haki yao ya kuwasemea waliowachagua kwa sababu hawezi kuuliza swali ama kuchagangia akitofautiana na serikali kwa kuwa anakuwa yupo serikalini kama mkuu wa mkoa hivyo collective responsibility inamnyima haki ya kuikosoa serikali katika kofia yake ya ubunge. Sijui kama una kumbukumbu yoyote ya hao niliowataja kama waliwahi kuuliza swali katika bunge lililopita?
 
Hapo ndio kuna tofauti. Ishengoma hakugombea jimboni. wanaogombea jimboni ndio wanaachia mara tu baada ya kupitishwa na Tume ya Uchaguzi ili awe mgombea jimboni. Na kama atashindwa kwenye kura za maoni (CCM) anarudi kwenye ukuu wake wa mkoa ama utunmishi wake serikalini. Mfano mzuri ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Ndg Kandoro. |Aliposhindwa kwenye kura za maoni alirudi kwenye ukuu wa mkoa. Upo mkuu?


mkuu napenda sana comment zako,nafikiri umetulia sana
 
mkuu napenda sana comment zako,nafikiri umetulia sana

Mkuu ni ufuatiliaji tu wa mambo yanayoendela nchini mwangu na kutoa comment bila kuegemea upande wowote. Ila kumbuka wanasiasa wengi ni wasaka tonge tu!! Mtafaruku wa posho za vikao utadhihirisha hilo muda si mrefu. Namshukuru aliyeleta uchakozi na uchokonozi wa kuzikataa posho.
 
Shekifu ni mwizi mkubwa. Nyerere alimweka ndani kipindi kile cha wahujumu uchumi. Ni mtu mwenye tamaa ya madaraka, mpenda misifa na malaya wa kutupwa, hekima ni sifuri kabisa. Ni mtu wa karibu sana na Jakaya na ndiye aliyekuwa meneja wa kampeni za Jakaya mwaka 2005 kanda ya kaskazini yote. Asante yake akapewa ukoo wa mkoa huko kusini (kati ya Lindi ama Mtwara) then akahamishiwa Manyara. Ana watoto kila kona ya Tanzania.
 
Yeye anadhani CCM walikabidhiwa Nchi na MUngu .Ndiyo maana anasema hovyo na ni matokeo ya ushikaji na JK . Anadhani akisema hayo wakadhibitiwa atapata pa kutokea. TZ ya sasa si ya zamani.Kama hawawezi kuwa na bajeti yao wenyewe hadi wachangiwe wanaweza kumjibu Mama Clinton juu ya uhalifu wao mambo yakisha kuwa mambo ? Wanapenda sifa na pesa za waziungu na nadhani yeye hana ajualo .So mwache aseme hovyo
 
Mkuu ni ufuatiliaji tu wa mambo yanayoendela nchini mwangu na kutoa comment bila kuegemea upande wowote. Ila kumbuka wanasiasa wengi ni wasaka tonge tu!! Mtafaruku wa posho za vikao utadhihirisha hilo muda si mrefu. Namshukuru aliyeleta uchakozi na uchokonozi wa kuzikataa posho.

mkuu natabiri hii thread itafika mbali sana
 
mbunge sio mtumishi wa serikali, si ndo pale tunaporudi kwenye mihimili mikuu 3, yaani Bunge, Serikali na Mahakama
tofautisha utumishi wa umma na utumishi wa serikali..mbunge,jaji wote ni watumishi wa umma,lakini nesi ni mtumishi wa umma katika mhimili wa serikali,..correct me if iam wrong
 
tofautisha utumishi wa umma na utumishi wa serikali..mbunge,jaji wote ni watumishi wa umma,lakini nesi ni mtumishi wa umma katika mhimili wa serikali,..correct me if iam wrong

Inaweza kuwa ni tofauti kati ya Civil Servant na Public Servant?
 
jiheshimu bwana we vipi? Unashusha heshima ya forum.

Ni kweli. Hapa ni pahala pa hoja na si matusi. Tukiendekeza matusi tutapoteza murua ya forum manake itaonekana ni forum ya kihuni na matusi tu hata hoja safi za kwenye forum nazo zitaonekana hazina maana. Tujiepushe na matusi.
 
kwa hoja ya kuacha ukuu wa mkoa iweke vizuri sijaelewa hapo, Cristina Ishengoma ni mkuu wa mkoa wa Ruvuma tena ni mbunge viti maalum, hili suala si ndo linalopigiwa kelele mtu kuwa na kofia mbili wakati wengine wanatafuta kazi,

Hata William Lukuvi pia akiwa mkuu wa Mkoa wa Morogoro na Dar alikuwa bado ni MP. Nahisi its President's discretion kama uendelee kushika mipini yote au la
 
Najua huyu mh. Mbunge na bado anaendelea kuwa mkoa wa Manyara, ilo linakera , lakini kero zaidi ni namna anayotoa hoja bungeni ni kama kwanza ndo bado yuko kule kwa wananchi alikozoa kutoa amri mkoani.
Kama kuna yoyote aliyesikiliza kikao cha bunge cha jioni ya leo ataungana nami, anatoa ushauri kwa serikali kuwa iwathibiti hao wanao fanya mikutano ya siasa, kwake hiyo anaiona ni kama ni vurugu katika nchi. hapa naona tatizo la mtu kuwa na kofia zaidi ya mmoja , hivi anafikiri pale anaongoza ni mkoa ? ndo maana waligombana na Ole Sendeka , hana maana

Hili la kuvaa kofia mbili mbili au hata zaidi inabidi tulipige vita kwa nguvu zote ili Watanzania wengine wenye uwezo wa kuvaa kofia moja kati ya hizo mbili au hata zaidi nao wapate nafasi ya kufanya hivyo.
 
anapenda saana mambo ya ajabu, amezaa saana nje.. kuna dada anaitwa xxxxxxxx, ni diwani viti maalum mkoa mmoja kanda ya magharibi amezaa nae pia na mtoto ni mfanyakazi wa redio moja nchini
 
Back
Top Bottom