Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Nakumbuka mwaka jana mwishoni wakati Shekhe na Mtabiri maarufu nchini na nje ya nchi akisema watakufa watu wengi maarufu mwaka 2011 watu walimwona kama kaishiwa.... Sasa wadau mkiangalia mpaka sasa, kuacha wale "maarufu" wa nje, si kweli watu wetu kadhaa maarufu wameshadondoka mpaka sasa? Na bado ndiyo kwanzaaa tarehe 3/12/2011.
TAFAKARI, CHUKUA HATUA............. Lisemwalo lipo na kama halipo laja!!!
TAFAKARI, CHUKUA HATUA............. Lisemwalo lipo na kama halipo laja!!!