Shein kufungua kituo cha Radio Bukoba

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
Kuna tetesi kwamba makamu wa Rais Dr Shein atazuru mji wa Bukoba ili kufungu kituo kipya cha Radio binafsi inayomilikiwa na mbunge wa Bukoba mjini na waziri mdogo wa mambo ya ndani Mh Kagasheki.
Ama kweli matumizi ya pesa ya walipa kodi nchi hii ya wadanganyika nayaonea huruma.
Yetu masikio ngoja tuone ukweli wenyewe basi. Maana bado ni tetesi.
 
Kuna tetesi kwamba makamu wa Rais Dr Shein atazuru mji wa Bukoba ili kufungu kituo kipya cha Radio binafsi inayomilikiwa na mbunge wa Bukoba mjini na waziri mdogo wa mambo ya ndani Mh Kagasheki.
Ama kweli matumizi ya pesa ya walipa kodi nchi hii ya wadanganyika nayaonea huruma.
Yetu masikio ngoja tuone ukweli wenyewe basi. Maana bado ni tetesi.
=========

Ndugu yangu
Mpaka mwaka ujao, utaona mengi. Kila mwenye fedha anapania kuanzisha radio, TV na gazeti ili kujiandaa kwa uchaguzi ujao. Wameona njia ya kuhonga kanga na t-shirts haitoshi, sasa wanapanga kuwalisha sumu wananchi kupitia vyombo vya habari. Mmoja wao amesema, wameona jinsi mengi anavyowaangaisha.

Kuna ombi jipya moja la Media House kubwa itakayoanzishwa DSM, lakini linazungushwazungushwa kwa ajili ya kujua nani yuko nyuma ya house hiyo. Kila kitu sasa kinahusishwa na mwaka 2010, na ni haki.
 
=========

Ndugu yangu
Mpaka mwaka ujao, utaona mengi. Kila mwenye fedha anapania kuanzisha radio, TV na gazeti ili kujiandaa kwa uchaguzi ujao. Wameona njia ya kuhonga kanga na t-shirts haitoshi, sasa wanapanga kuwalisha sumu wananchi kupitia vyombo vya habari. Mmoja wao amesema, wameona jinsi mengi anavyowaangaisha.

Kuna ombi jipya moja la Media House kubwa itakayoanzishwa DSM, lakini linazungushwazungushwa kwa ajili ya kujua nani yuko nyuma ya house hiyo. Kila kitu sasa kinahusishwa na mwaka 2010, na ni haki.

B B kinachoniumiza mimi ni kuona gharama kubwa za usafiri wa viongozi wetu plus marupurupu kwa safari yakuja kufungua Radio tu! Najua hapo watazuga kuwa kuna kasafari ka kukagua miradi au kutembelea mkoa lakini kusudi kubwa ilikuwa kufungua Radio tu.
Mimi sielewi kama kweli viongozi wetu wako serious na maendeleo yetu. Sijui kama wanajua dunia ina face economic difficulties kiasi kwamba wanahitaji hata kujali matumizi ya huu mfuko wa sirikali wanauita consolidated fund.
Aaahhhhh grriiiiiiiiii.
 
B B kinachoniumiza mimi ni kuona gharama kubwa za usafiri wa viongozi wetu plus marupurupu kwa safari yakuja kufungua Radio tu! Najua hapo watazuga kuwa kuna kasafari ka kukagua miradi au kutembelea mkoa lakini kusudi kubwa ilikuwa kufungua Radio tu.
Mimi sielewi kama kweli viongozi wetu wako serious na maendeleo yetu. Sijui kama wanajua dunia ina face economic difficulties kiasi kwamba wanahitaji hata kujali matumizi ya huu mfuko wa sirikali wanauita consolidated fund.
Aaahhhhh grriiiiiiiiii.
=======

Radio yenyewe FM, kwa faida ya mji wa BKB na vitongoji vyake. Lakini brass nzima ya serikali itaandamana kwenda huko kwa gharama kubwa. Seriousness haipo ndugu yangu. Waliingia madarakani wakidhani ni mchezo, kumbe laana ya JKN ikawakumba: alisema, "anayekimbilia Ikulu, aogopwe kama ukoma".
 
hivi serious wakuu huyu shein hawezi kupangiwa kazi nyingine zaidi ya hii kukata utepe na kuzindua hivi vijimiradi tu?
 
Unajua Bukoba ni sehemu ambayo Sultani CCM ameilazimisha kuwa chini ya himaya yake ,lakini kusema ukweli wananchi wa Bukoba wanaichukia CCM ile mbaya na walishatishia kujitenga ,sasa sijui hayo ndio maendeleo wanapelekewa ,yaani CCM inawafanya kama watoto wachanga au watu wasiojua maendeleo ni kitu gani,maana walitaka barabara zao ziwe za kiwango cha lami ,sijui kama wameshatiliwa hiyo lami au mpaka september 2009,Sio mbaya watapata sehemu ya kuwasha moto.
 
Back
Top Bottom