kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,801
- 541
Ndio bye bye hiyo, yaani hata kama inajulikana wazi kuwa dalili za mvua kali ni upepo mkali ila wengine wanabaki kusema kuwa ni mawingu.
Woga wa ccm umeuponza Muungano ,CCM waliona CUF ikishinda Uraisi Zanzibar basi makamo wa Raisi wa Muungano atakuwa ni kutoka CUF ,ndio wakaona Raisi wa Zanzibar awe ni waziri asie na wizara maalum katika Muungano, utumbo huu mwenye akili haukubali na WAZANZIBARI hapa ndipo penye tundu kubwa la kuachana na Muungano ,ndio hapohapo watakapo pata upenyo ,hizo kero zingine ni akiba
Waliifuata akili ya baba wao wa Taifa Nyerere ,kumbe wakati ule hata akili yake ilikuwa imepata ugonjwa , matokeo yake ndiyo haya