Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kasema hawezi kwenda kinyume na ccm ataulinda muungano hadi mwisho.
Source: itv
Source: itv
kasema hawezi kwenda kinyume na ccm ataulinda muungano hadi mwisho.
Source: itv
kasema hawezi kwenda kinyume na ccm ataulinda muungano hadi mwisho.
Source: itv
Mtwana wa CCM huyo, hana jipya na muungano utavunjika very soon
Ujumbe unawafikia taratibu tu. Sasa awaondoe kwenye serikali yake wanaopinga muungano ea serikali mbili.
Ataulinda Muungano kwa sababu ya CCM au kwa sababu anaamini kwenye dhana nzima ya Muungano? Na atalinda Muungano wa aina gani, wa serikali 3, 2, 1 au wa mkataba?
Katiba ya JMT inasema muungano wa serikali 2, PERIOD! Wewe unataka aende kinyume na katiba?
Ujumbe unawafikia taratibu tu. Sasa awaondoe kwenye serikali yake wanaopinga muungano ea serikali mbili.