Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Last edited by a moderator:
Mtu akiwa anaumwa yanawezakana yakatokea moja kati ya mambo mawili apone au Afariki sasa hakuna cha ajabu kufa mtu au kupona mkuu. atapona tu sheikh Yahya Hussein inshallah.Kwani huyu Yahaya si alikuwa mgonjwa,kapata nafuu?