Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
- Thread starter
- #21
du...........km ndio hivyo tusahau kufika ,tutaendelea na safari ya kuelekea maendeleo na maisha biora isiyo na kikomo yaani maisha yetu yote yatakuwa yanaishia kusafiri tu kuelekea ustawi wa kweli na wala hatutafika iwapo watu hawa wataendelea kuexist.................mkulu ndo hivyo! sasa upate picha tunakoelekea watu wapo kikazi zaidi!