Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
muda mfupi kabla ya uchaguzi wa Kenya mtabiri maharufu mtoto wa Sheikh Yahya alitabiri kuwa raila Odinga atashinda uchaguzi wa Kenya kwa kishindo.na kuna rafiki yangu leo hii ameliwa dolla 5000 kwa kubet mshindi kuwa ni raila odinga,na kama raila angefanikiwa basi angeshinda dolla 50,000.nawaomba wa kenya wakubali matokeo ili kusongesha maendeleo ya nchi mbele