The info is true!
Mzee Yahya in no more, wamepeleka mwili wake Lugalo muda si mrefu.
Poleni wafiwa wote!
tuwaombee wanafamilia na wafiwa wote Mungu awape faraja. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEM MAHALA PEMA PEPONI AMEN
The info is true!
Mzee Yahya in no more, wamepeleka mwili wake Lugalo muda si mrefu.
Poleni wafiwa wote!
Wanajamii
Kwa Majonzi Makubwa sana, napenda kuwapa taarifa kwamba, SHEHE YAHAYA IS NO MORE.
Poleni sana
Source, Mimi Mwenyewe
alikuwa anaweka usiku sana kwenye maendeleo ya nchi.....akavune alichokipanda kudadadeki....
wanaomchukia sheikh yahaya wote ni wabaguzi wa dini
HABARI ZA MAJINI NA MAUCHAWI mpeleeke JK