kama alivuojitabiri kwamba ata kufa yy kama atokufa mgombea 1 uraisi ss wagombea wamegoma kufa inabidi afe yy so akuna cha kushangaa hapo
Uzee:smile-big:wadau wa JF
Nimesoma kwenye gazeti moja la hapa nchini kuwa Mtabiri mkuu na mtallam wa myota Sheikh yahys Hussein anaumwa,je ni kweli ,kama ni kwelio anaumwa nini.Hebu kama kuna mtu ana uhakika juu ya hili atuhabarishe.