Sheikh Yahya awatabiria mabaya wanasiasa

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
na Hellen Ngoromera


MNAJIMU Mkuu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amewatabiria viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu kutekwa nyara.
Sheikh Yahaya amewatabiria pia viongozi hao, wake zao au maswahiba zao kuibiwa na kufanywa kama bidhaa.
Alisema hayo jana katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari kuhusu utabiri wake wa mwezi huu.
“Kuanzia Aprili 19 na kuendelea hadi Julai, viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Aliwataka wachukue tahadhari hasa wanapotembea na kusafiri kwani kuna uwezekano wasirudi mara watakaposafiri.
Utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Kwa mujibu wa Sheikh Yahaya ambaye amekuwa akitabiri mambo mbalimbali, nyota hizo pia zinawalenga wake na maswahiba wa viongozi hao mashuhuri.
 
Mbona hakuna mgombea urais aliyekufa kabla ya uchaguzi 2010? Asituzingue!
 
Mpango ule ule wa kuwatisha watu wasifanye siasa. Amefanya jambo la maana sana kufahamisha wazalendo kuwa kuna mpango wa kuteka nyara viongozi wanaoipinga serikali. Wakifika huko basi wajiandae maana ni lazima ita-backfire tu.
 
na Hellen Ngoromera


MNAJIMU Mkuu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amewatabiria viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu kutekwa nyara.
Sheikh Yahaya amewatabiria pia viongozi hao, wake zao au maswahiba zao kuibiwa na kufanywa kama bidhaa.
Alisema hayo jana katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari kuhusu utabiri wake wa mwezi huu.
"Kuanzia Aprili 19 na kuendelea hadi Julai, viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Aliwataka wachukue tahadhari hasa wanapotembea na kusafiri kwani kuna uwezekano wasirudi mara watakaposafiri.
Utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Kwa mujibu wa Sheikh Yahaya ambaye amekuwa akitabiri mambo mbalimbali, nyota hizo pia zinawalenga wake na maswahiba wa viongozi hao mashuhuri.

Hapo kwenye red hapo!
 
na Hellen Ngoromera


MNAJIMU Mkuu Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahya Hussein, amewatabiria viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu kutekwa nyara.
Sheikh Yahaya amewatabiria pia viongozi hao, wake zao au maswahiba zao kuibiwa na kufanywa kama bidhaa.
Alisema hayo jana katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari kuhusu utabiri wake wa mwezi huu.
“Kuanzia Aprili 19 na kuendelea hadi Julai, viongozi wa siasa na wafanyabiashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Aliwataka wachukue tahadhari hasa wanapotembea na kusafiri kwani kuna uwezekano wasirudi mara watakaposafiri.
Utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Kwa mujibu wa Sheikh Yahaya ambaye amekuwa akitabiri mambo mbalimbali, nyota hizo pia zinawalenga wake na maswahiba wa viongozi hao mashuhuri.

yale yale ya gazeti la mwanahalisi huyu jamaa itabidi atiwe ndani afu tuone utabiri wake utuaje...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom