Mateso
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 259
- 19
badala ya kwenda kanisani kumshukuru Mungu kwa kuwatendea huo muujiza, nyie mnaenda kuyashukuru na kuongea na majini ya shekh yahya, utafuteni uso wa Mungu kwanza oooohooo!
Ameshawatega wakianza kuchanganya pesa yote itaishia kwa shekh. Ole wenu hiyo laki muitumie vibaya itawarudi.